Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Je kupandisha nguruwe waliozaliwa tumbo moja (uzao 1 na wa mama huyo huyo) Kuna athari zozote kwa vitoto vitakavyozaliwa? Msaada kwa anayeelewa. #commred Chichimizi
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nahitaji kufuga Nguruwe ili kuongeza kipato naombeni ushauri wadau
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Nina mpango wa kufuga nguruwe lakini nina changamoto moja kubwa ninayoipata hivyo nahitaji mtu wa kuingia nae ubia tufanye pamoja. Vigezo: i. Huyo mtu awe na eneo la...
2 Reactions
43 Replies
7K Views
Habari Naomba mtu yeyote anaefuga nguruwe nimtembelee na kuona ili kujifunza zaidi Naishi dar niko tayari kufika kokote pembezoni mwa dar kama mkuranga, rufiji, kibaha, mlandizi, morogoro na...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za leo natumaini wazima wote. Nipo na mtaji na eneo lenye upatikanaji wa maji kwa wingi, naomba ushauri kwa ufugaji wa nguruwe. Nahitaji kujua gharama za nguruwe mmoja kumtunza kwa...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Kwanza watoto wa nguruwe wanapozaliwa siku ya kwanza mpaka ya tatu wanatakiwa wachomwe iron mara moja then wakimaliza wiki moja wanatakiwa wachomwe Gentaject pamoja na introvite hizo ni...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Wapendwa nimepigiwa simu na rafiki yangu ataniambia kuna ugonjwa wa kutetemeka ambao unaua sana nguruwe huko Tabata na Kinyerezi. Mwenye habari kamili na tafadhali atujuze hapa.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimeamua kujihusisha na masuala ya ufugaji baada ya kukosa matumaini ya kuajiriwa nilianza na kuku wa kienyeji 8 mwaka jana mwezi wa tisa sasa wapo 52.pia mwezi wa nne tarehe moja nimenunua...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Guys huu ugonjwa wa Nguruwe unaua banda zima kwa siku moja nini kinga? Ukishatokea inabidi ufanyeje kurudi kwenye game? Wale Vitoto vinavyobaki vinafaa kuendelea kufugwa au vinakuwa tayari navyo...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Je kupandisha nguruwe waliozaliwa tumbo moja (uzao 1 na wa mama huyo huyo) Kuna athari zozote kwa vitoto vitakavyozaliwa? Msaada kwa anayeelewa. #commred Chichimizi
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau, Kama mada husika hapo nina shamba kubwa la mihogo changamoto kubwa niliyonayo ni nguruwe usiku wanafanya uharibufu. Naomba mawazo na maarifa ya kuwadhibiti Ahsanteni
0 Reactions
76 Replies
17K Views
Serikali ingilieni kati, Mbolea imekuwa na masharti magumu kununua, sasa hivi hakuna kupima kwa kilo, kila mkulima analazimika kununua mfuko wa Kilo 50 ambao bei yake ni sh 50,000-55,000 wengine...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Naomba nitoe wito kwa wanasiasa, watuache sisi wakulima wadogo wadogo tuendelee na maisha yetu haya ndio maisha yetu, tunaomba wasituhamishe kufanya kitu kingine ambacho hatujakiona, miaka yote ma...
1 Reactions
3 Replies
946 Views
The Minister of State in the Prime Minister's Office (Policy, Parliamentary Affairs, Labour, Employment, Youth and the Disabled), Ms Jenista Mhagama said that the project will closely involve...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu.. Mie ni mkulima napatikana Kilosa Rudewa, najihusisha na kilimo cha Ngogwe ali maarufu kama Nyanyachungu.... Kama picha inavyo onyesha nimejarbu panda Bilinganya shamban...
2 Reactions
0 Replies
4K Views
Wadau naomba msaada kwa wanao jua chochote kuhusu kilimo cha Bilinganya hasa masoko Mie nimkulima , huwa nalima Ngogwe ali maarufu kama nyanya chungu lakin nataka hamia kwenye Bilinganya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada kwa wanao jua chochote kuhusu kilimo cha Bilinganya hasa masoko Mie nimkulima , huwa nalima Ngogwe ali maarufu kama nyanya chungu lakin nataka hamia kwenye Bilinganya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Korogwe Tanga
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wadau, Naomba msaada mwenye kufahamu njia rahisi ya kuwaondoa nyuki waliojenga pembeni ya paa la nyumba. Natanguliza shukurani.
0 Reactions
20 Replies
9K Views
Heshima mbele, Kuna eka 4 nilianda shamba Pwani ,nataka kuchanganya mazao karibia manne . Hamna source ya maji so nataka kucheza na hizi mvua. Naomba msaada na ushauri niweke mazao gani hasa yale...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…