Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Salam wana jamvi naombeni ushauri wapi ninaweza kupata soko la kuuzia mahindi mabichi. Nipo mkoa wa pwani wilaya ya rufiji nataka kuanza kilimo cha mahindi ila cjui wapi naweza kupata soko na bei...
2 Reactions
4 Replies
6K Views
Strawberry (fukasidi) hustawi katika maeneo yenye joto la wastani, na hukua kwa haraka zaidi na uzalishaji kuongezeka linapolimwa kisasa zaidi, Hasa katika Green house. Zao hili hukua vizuri...
2 Reactions
136 Replies
65K Views
Salamu wadau Mimi ni miongoni mwa wakulima wa vitunguu na mboga mboga tunaotumia maji ya Mto Ruvu, wilayani Same mkoani Kilimanjaro. Tokea wiki iliyopita kumekuwa na Mafuriko ya maji ya mto, kiasi...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau habari zenu, Naomba wanaojua kilimo bora cha mboga ya tembele wanisaidie. Hatua zote na hadi kupata tembele zuri lenye afya Shamba lipo na maji yapo karibu pia ya uhakika. Asante
2 Reactions
9 Replies
12K Views
Naomba kuuliza kwa ndugu zangu wanajamii wote je? Nyoka aina ya msanga anafaa kufugwa?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari waungwana. natamani sana kuingia kwenye kilimo hasa cha matunda kama apple lakina nashidwa kujua kiutaram ni mazingira gan yanakubari na uoteshaji wake upoje, aksanteni sana, KARIBUNI KWA...
2 Reactions
9 Replies
12K Views
Ninaye ng'ombe aliyezaa hivi karibuni , yapata wiki sasa tatizo nilipoanza kukamua maziwa yanakuwa yamechanganyika na Damu kiasi nni tatizo na tiba yake?
1 Reactions
28 Replies
7K Views
Heshima kwenu mabibi na mabwana,kuroiler ni aina ya kuku chotara ambao wanasifa za kienyeji kwa kiasi fulani na sifa za kuku wa kisasa kiasi fulani hasa kwenye rangi ya mayai hata wakati mwingine...
1 Reactions
11 Replies
8K Views
Habari wakuu, kwa mwenye uzoefu katika ujenzi wa greenhouse;hasa gharama za vifaa vyake kama poles na vyandarua karibuni tusaidiane! Nawasilisha....,
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza Jamani mimi nataka kulima mihogo Je ni mwezi gani sahih wa kulima?
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Wadau tunakaribia msimu wa mavuno ya zao la muhogo kwa wingi hasa kutoka mikoa ya kusini mwa Tanzania na baadhi tayari wameanza kuvuna. Soko la zao hili limekuwa halina uhakika sana kutokana na...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nataka kuanza kilimo mkoani morogoro, vipi upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa anaejua anifahamishe
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kuna mtu anajua namna ya kulima saffron na upatikanaji wa bulbs (mbegu) zake atupe hii elimu. Nimejaribu kutafuta mtandaoni naona kama ni hii kitu inaweza kututoa kwenye umasikini...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Nimepitia sera ya Kilimo hapa nchini. Ni sera nzuri na sera nzuri kuliko sera zote.Kilimo ukifundishwa darasani ni kizuri.Lakini practically ni kazi ngumu. Kinataka tija na ujuzi pia mtaji kwa...
0 Reactions
0 Replies
946 Views
Habar wanajamvi, mimi ni muajiriwa katika shirika lisilo la kiserikali na pia najishughulisha na kilimo cha machungwa na mahindi na pia ni mfugaji wa kuku wa kienyeji chotara aina ya kuroiler...
4 Reactions
16 Replies
4K Views
Mipapai yangu haizai wanasema ya kiume, nifanye nini ili yawe ya kike? Naombeni mchango wa kitaalamu.
0 Reactions
12 Replies
19K Views
Habari ya saa hii jameni,nimeona papa wa urefu kama futa tatu na ushee akiuzwa kwa soko ya samaki. Swali nataka uliza:papa analiwa? Because once nilipata kusikia wako wenye sumu hawafai kwa...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Habari wakuu Naomba msaada kujua juu ya water pump hizi zinazotumia mafuta, Je zina uwezo wa kuvuta maji kisima cha futi 50? Na kama zinaweza ipi pump bora zaidi Karibuni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
VITU VYA KUZINGATIA KATIKA UKATAJI MIDOMO YA KUKU (DEBEAKING) ★ Utangulizi Ukataji wa midomo ya kuku ni mojawapo wa majukumu ya kawaida kwa mfugaji na huusisha kuondolewa kwa ncha kali ya mdomo...
1 Reactions
2 Replies
50K Views
Habari wapendwa.... Mimi nipo morogoro, ni Dada mwenye uchungu sana na maisha na nahitaji maendeleo kwa njia yoyote iliyo halali! na moja ya njia hizo ni kilimo! nimeshawahi kujishughulisha Sana...
5 Reactions
75 Replies
13K Views
Back
Top Bottom