Msaada kuhusu Kitunguu saumu

Msaada kuhusu Kitunguu saumu

abaa4all

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2013
Posts
326
Reaction score
344
Habar wakulima
Naomba aliewah kulima kitunguu saumu aniambie kinakaa muda gani shamba na kipind gan huwa ni mwisho wa kumwagia maji.
Ntashukuru
 
ukanda wa joto miezi mitano ukanda wa baridi miezi saba
 
Habar wakulima
Naomba aliewah kulima kitunguu saumu aniambie kinakaa muda gani shamba na kipind gan huwa ni mwisho wa kumwagia maji.
Ntashukuru
Sorry nilikuja kasi nikidhani ni kuhusu matumizi yake hasa kiroho
 
Back
Top Bottom