Shoma1
Member
- May 21, 2018
- 16
- 8
Habari Wadau nilikua naomba kwa anayejua hints za ufugaji wa kuku nahitaji kununua vifaranga Vidogo vya broiler ndio nimesikia vinakua wiki 3 au 4 sasa shida yangu ni kwamba mabanda hayo hayo naweza nikayatumia hata kuku wakikua au kuna tofauti ya mabanda inabidi nifanye na gharama za ujenzi wa banda inaweza kufikia sh ngap