Wanajamii!!
Ninaomba kwa anayejua anisaidie, ninataka kununua laptop nzuri na mpya kabisa. Bahati mbaya mimi si mtaalamu kabisa wa kompyuta (laptop) ingawa ninajua kutumia kifaa hicho.
Ninaomba mnifahamishe ,ninunue laptop ipi na ni bei gani? Na kama mawasiliano yapo ya wauzaji, ninaomba yawekwe hapa.
Natanguliza Shukrani
Ninaomba kwa anayejua anisaidie, ninataka kununua laptop nzuri na mpya kabisa. Bahati mbaya mimi si mtaalamu kabisa wa kompyuta (laptop) ingawa ninajua kutumia kifaa hicho.
Ninaomba mnifahamishe ,ninunue laptop ipi na ni bei gani? Na kama mawasiliano yapo ya wauzaji, ninaomba yawekwe hapa.
Natanguliza Shukrani