boobookitty
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 255
- 174
Nimeibiwa simu yenye vitu vya maana.. Ivi amna namna naeza kuipata
Sema ni simu ya aina gani pengine wadau/I.T wanaweza kukusaidia..!Nimeibiwa simu yenye vitu vya maana.. Ivi amna namna naeza kuipata
Hakuna namna.zaidi ya kwenda kwa mganga au umwachie mungu.Nimeibiwa simu yenye vitu vya maana.. Ivi amna namna naeza kuipata
Nenda polisiNimeibiwa simu yenye vitu vya maana.. Ivi amna namna naeza kuipata
Naomba details nifanyajeNenda polisi
Naeza nkaipatastakabadhi uliyo nunulia nadhani itakuwa na imei ya simu yako watakusaidia
mtihani utaipata km ni ya gharama unakomaa utaipata (make sure you have all the details of your phone) sikuhizi kuna mahusiono kati ya polisi,network provider na tcraNaeza nkaipata