Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani kiongoziprocessor unai upgrade kwa kuitoa na kuipachika nyengine.
processor nyingi za amd ni apu maybe walimaanisha ulitakiwa uweke driver za hio apu.
pia app za namna hio pia ni za kishenzi tu usiziamini wala usizikubalie kudownload vitu kama unataka software ya AMD nenda website ya AMD na si vinginevyo.
nenda my computer halafu right click then properties then kariri hilo jina la cpu yako halafu lipaste google huku likifuatiwa na neno drivers kwa mbele
mfano amd e-350 drivers
utapata drivers mpya kama zipo.
hapo alimaanisha ku-update driver(software) sio ku-upgrade processor(hardware).. Sehemu sahihi ya kupata driver husika nenda kwenye offical website ya AMD au offical website ya computer yako i.e hp 620 hapo utapata driver sahihi, kuna sehemu ya ku-search andika model ya pc yako hapa..hapo kutakua na driver mbalimbali na za pc tofauti..Wakuu wa humu naomba kuuliza
Kwamba juzi nilidownload application inaitwa booster katika pc yangukatika kuifungua ikaonesha kuwa AMD processor is out to date need for update je kuna uwezekano hizi processor kuwa updated via internet