Kama Kuna mtu ni mbaya wa IT,natoa ajira ya kuitafuta Macbook yangu ilioibiwa.Kama uko serious njoo Inbox
Unaweza kunipa more info ya hiyo ofisi ili niweze kwendaHakuna anayeweza kukutaftia hapa. Fanya hivi. Nenda pale posta mpya kuna ghorofa refu kuna washkaji hapo i think ni forth floor. Ni wabaya sana. Just wape mac address ya hiyo mashine yako akiingia kwenye internet tu kaisha