N Nfumu JF-Expert Member Nov 13, 2016 611 697 Feb 22, 2017 #1 msaada kwa wale ambao wanaju kuhide internet protocol address katika PC unahitajika wakuu
dronedrake JF-Expert Member Dec 25, 2013 23,220 54,872 Feb 22, 2017 #3 tumia vpn tools like tunnel guru ,pd proxy na nyinginezo..zicheki google
Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 30,715 39,800 Feb 22, 2017 #4 -tumia vpn, vpn ya bure nzuri sasa hivi ni opera vpn, -tumia browser ya tor automatic itakuficha -tumia proxy mbalimbali za anonymous, nenda xroxy.com utazikuta.
-tumia vpn, vpn ya bure nzuri sasa hivi ni opera vpn, -tumia browser ya tor automatic itakuficha -tumia proxy mbalimbali za anonymous, nenda xroxy.com utazikuta.
mtzmweusi JF-Expert Member Apr 20, 2013 8,596 8,878 Feb 22, 2017 #5 Chief-Mkwawa said: -tumia vpn, vpn ya bure nzuri sasa hivi ni opera vpn, -tumia browser ya tor automatic itakuficha -tumia proxy mbalimbali za anonymous, nenda xroxy.com utazikuta. Click to expand... hapa sijakusoma kabisa mkuu naomba ufafanue zaidi
Chief-Mkwawa said: -tumia vpn, vpn ya bure nzuri sasa hivi ni opera vpn, -tumia browser ya tor automatic itakuficha -tumia proxy mbalimbali za anonymous, nenda xroxy.com utazikuta. Click to expand... hapa sijakusoma kabisa mkuu naomba ufafanue zaidi