Msaada kwa anaejua kuhide IP address

Msaada kwa anaejua kuhide IP address

Nfumu

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2016
Posts
610
Reaction score
699
msaada kwa wale ambao wanaju kuhide internet protocol address katika PC unahitajika wakuu
 
tumia vpn tools like tunnel guru ,pd proxy na nyinginezo..zicheki google
 
-tumia vpn, vpn ya bure nzuri sasa hivi ni opera vpn,

-tumia browser ya tor automatic itakuficha

-tumia proxy mbalimbali za anonymous, nenda xroxy.com utazikuta.
 
-tumia vpn, vpn ya bure nzuri sasa hivi ni opera vpn,

-tumia browser ya tor automatic itakuficha

-tumia proxy mbalimbali za anonymous, nenda xroxy.com utazikuta.
hapa sijakusoma kabisa mkuu naomba ufafanue zaidi
 
Back
Top Bottom