Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari zenu wakuuuu naomben muhongozo jinsi ya verify instagram acount au facebook iwe a ticck ya blue je nipitie njia gan
0 Reactions
4 Replies
981 Views
Naomba mnisaidie jinsi ya kuseti notification ya watsap kwenye tecno cx ionekane kama zingine maana inaonyesha vidoti tu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Salaam Wana JF! Kwa wale wenye uelewa wa hizi mita za umeme za kisasa zinazofungwa juu ya nguzo - jinsi zinavyofanya kazi. Mita hizi zinafungwa juu ya nguzo za umeme na keypad unakuwa nayo ndani...
0 Reactions
43 Replies
24K Views
Wakuu nana samsung galaxy note 1 ( gt n7000) gafla tu haisomi laini wala network haipandi nikaja kucheki haya IMEI NUMBER haisomi pia naombeni msaada kwa atakae weza pesa ipo.
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Msaada jinsi ya kubadili lugha kwenye modem.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa habarini za jioni. Wapendwa nina interest sana na kujua kompyuta hasa hardware na software, yaani ninapenda kuwa expert kwa maana ya fundi wa kutengeneza kompyuta. Kwa wale...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman mbona mm cm yangu inachukua muda mwingi kujaa chaj kama maa8 nifanyeje ijae haraka
1 Reactions
56 Replies
14K Views
Za kazi wakuu, Nime-install Lineage 14.1( Nougat 7.1.1) kwenye Samsung S2, inafanya kazi vizuri, ila tatizo liko kwenye memory, OS imechukua karibu sehemu kubwa ya internal storage. Nimejaribu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika kutembelea website ya ebay nikaipenda simu APPLE iphone 4s-16GB Verion ( Factory Unlocked) smart phone. This device is 100% fully functional having passed our industry leading inspection...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Maelezo yote yapo hapa, best of luck jamani. Link: Bots for Messenger Challenge For many years Facebook has been promoting innovation across the Middle East and Africa, providing startups with...
1 Reactions
1 Replies
683 Views
Naombeni msaada wa kununua simu mtandaoni kupitia mtandao wa Ebay, hatua za muhimu za kufuata pia hata kuitambua simu Ubora wake hata network yake, unaweza nunua halafu kufika TZ network locked.
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Salaam wana jukwaa. Nilipata taarifa flan kwamba kuna fundi anatengeneza inveter za kufua umeme wa AC kutoka DC at same time inatengengeneza DC ya kurudisha kwenye betri ilipotoa. Kumbuka hapo...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu,naombeni msaada kwa anayejua.Simu yangu Internal memory ni 8GB. Nikijaribu kuinstall apps inanipa meseji kama hiyo hapo heading. Niliiroot lakini iligoma mpaka wa leo.Any update?
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za leo ndugu wana JF poleni na majukumu ya kazi,samahani naomba msaada wenu nimenunua iphone 5c siku 2 za mwanzo ilikua poa kila kitu lakini sasa hvi ina matatizo kama 3 hivi 1.Kuna muda...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Niliahidi kutoa mifano ya fursa ambazo Rafiki zangu Developers wanaweza tumia nakuleta impact kwa jamii nahata duniani kiujumla. Fuatilia my previous thread Nilieleza hits muhimu zakujua...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Naomba msaada ndugu zangu ninahitaji kudowload season mpya ya prison break season 5 iliyotoka mwezi huu wa nne, lakini sifahamu naipata vipi naomba mwenye ujuzi wa hili jambo anifahamishe kupitia...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Techno C8 haingizi chaji mpk uuzime, inanisumbua maana kuna wkt chaji inaisha mchana inabidi niizime ili niichaji, msaada tafadhali wataalam.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Tunapomsikia mtu akisema Usalama wa mitandao/Matumizi mzuri ya mitandao...tumeshawahi kujiuliza huyu mtu ana lengo na nia gani kwa jamii??....Kwanza kabla mtu yeyote hajaanza kutuhubiria kuhusu...
0 Reactions
6 Replies
925 Views
Naomba programs zinazo tumika ku monitoring health information.
0 Reactions
0 Replies
423 Views
Jamani msaada nna simu yangu imetoka ulaya sema haiingii sim card za tanzania na inataka unlock codes ambayo nimejaribu kugoogle wanaziuza usd 30 msaada jamani kama kuna njia nyingine mnisaidie...
0 Reactions
3 Replies
789 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…