Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Naomba kujua tatizo la pc yangu nikiinstall window 10 inaandika the version of this file is not compatible with the version of windows you're running.check your computer's system information to...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Msaada jinsi ya kuzipa PRODUCT KEYS kweny PC Natumia windows 8 sabab nashindwa tumia Microsoft Word bila kuingiza hizo keys
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Jetbrains PhpStorm 2017.1,2 licence key au torrent file anitupie hapa ntafurahi sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF habari. Naombeni msaada wa jinsi ya ku-download video kutoka dailmotion. Natanguliza shukurani zangu.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Ninapata shida kwa siku ya pili sasa, whatsapp nashindwa kabisa kuingia. Internet inasoma H+ 200Kbs per second, ila nikiingia whatsapp tu inashuka hadi 0 na nashindwa kutuma...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu naomba njia au program ambayo ina-hide app icons katika android smartphones na kuonekana kama iyo app haiexist
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni baada ya kuzunguka kariakoo mtaa wa agrey kuitafuta s8 na kuikosa nimepata wazo ninunue s7 naomba kwa mlio bahatika Au mungu kuwajalia kuimiliki naomba kujui ipo vizuri kwa vitu vifuatavyo...
0 Reactions
6 Replies
863 Views
habari wakuu mimi nikijana umri miaka 18 naomba msaada wa kufundishwa umeme wa magari nipo mkoani iringa mjini.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau naomba kusadiwa kuna picha nilipost facebook kimakosa na nimegundua nikiwa tayari nime klick ile button ya post sasa nahitaji kuiondoa nimeshindwa, msaada kwenu wadau
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa humu ndani, Mwenye ujuzi au utaalamu wa kushusha new movie kwenye simu za android anisaidie maana kuna movie naitafuta sana. Plesae naombeni msaada wenu.
1 Reactions
6 Replies
14K Views
Wadau naomben link ya kudownload series inaitwa the 'a fist within four wall'
0 Reactions
0 Replies
751 Views
Habar wana jf Kama heading inavyojieleza.Mimi sio fundi wala sina uelewa na mambo ya kutengeneza simu. Kuna kiasi firan cha pesa nategemea kupata siku za uson.sasa naplan nifungue ofisi ya...
1 Reactions
32 Replies
11K Views
Msaada jamani nahitaji Direct link ya kudownload huu wimbo Free.....nimehangaika nimeshindwa NO OTHER GOD kaimba PREYE ODEDE
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba msaada kwa yeyote. External Hard Disk yangu nili iprotect kwa kutumia Bitlocker. Nimesahau password na kwa bahati mbaya hata recovery key nimesahau niliko save. Naomba msaada kwa yeyote...
0 Reactions
3 Replies
811 Views
Wakuu habari za mida hii,nahitaji kufunga WiFi kwa eneo lipatalo kama square mita kama 110 hivi nitumie mechanism gani ili eneo lote liweze kuwa na WiFi au ni device gani inaweza kuwa na nguvu ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kulingana na Tcra, Tanzania ina watumiaji mtandao (internet) million 17.3 kwa namba hzo hili ni soko kubwa sana. Swali langu kwa wataalam kwenye sekta hii haswa wale wanaojihusisha na apps and...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba msaada kwa ambae anaujuzi huo anisaidie njia nyepesi ya kutengeneza mashine ya kutotolesha mayai ya kuku inayo tumia mafuta ya taa au vifaa vinavyo tumika kutengeneza mashine hiyo
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wanaJF Kwa bahati mbaya nimefuta Chanel zote za tanzania kwenye Receiver yangu hivyo sipati tena chanel za hapa nchini, hivyo basi naomba msaada kwa mtu mwenye frequency za ITV, TBC...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
wadau naomba msaada kama kuna program yeyote inayoweza kukuonyesha simu ulizopigiwa wakati simu iko chaji na umeizima.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuuuu naomben muhongozo jinsi ya verify instagram acount au facebook iwe a ticck ya blue je nipitie njia gan
0 Reactions
4 Replies
981 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…