Naomba kuelekezwa kuhusu Samsung s7?

Naomba kuelekezwa kuhusu Samsung s7?

Raphael gadau

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2017
Posts
1,007
Reaction score
306
Ni baada ya kuzunguka kariakoo mtaa wa agrey kuitafuta s8 na kuikosa nimepata wazo ninunue s7 naomba kwa mlio bahatika Au mungu kuwajalia kuimiliki naomba kujui ipo vizuri kwa vitu vifuatavyo kamera, kutokuchemka wakati wa matumizi
Pia bila kusahau mfumo wa kubadili mwonekano wa maneno(mwandiko) ina system hiyo maana ni moja ya vitu ninavyo vipenda kutoka kwao Samsung.
 
Nilikuw nayo kweny camera ilikuw vzur san.ila kwasasa nimeigawa mana naona kama ishakuw ya kizaman
 
Ni baada ya kuzunguka kariakoo mtaa wa agrey kuitafuta s8 na kuikosa nimepata wazo ninunue s7 naomba kwa mlio bahatika Au mungu kuwajalia kuimiliki naomba kujui ipo vizuri kwa vitu vifuatavyo kamera, kutokuchemka wakati wa matumizi
Pia bila kusahau mfumo wa kubadili mwonekano wa maneno(mwandiko) ina system hiyo maana ni moja ya vitu ninavyo vipenda kutoka kwao Samsung.
Mkuu usipate shida mpigie huyo hapo kwa hii link...Phone4Sale - Vunja Bei SmartPhones: achana na bei za zamani sasa Bei imepoa:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom