Habari wakuu?
Kama kichwa cha habari hapo juu. Huwa mara nyingi tunaona tu mitandaoni machimbo ya nguo na viatu hapo kariakoo. Na bei zake rafiki. Kama kuna watu wanafahamu machimbo ya LAPTOP na...
Habari za muda huu wakuu
Nataka kununua simu ya Google Pixel na macho yangu yapo kwenye Pixel 7 pro zaidi kuliko 7plane
Hata hivyo, nimeona mtaani watu wengi wanatumia na kusifia zaidi Pixel 7...
Good day wakuu,
Nahitaji registered member wa hii board ya ICT anisaidie mwongozo, kuna vipengele vinachanganya wakati wa kujaza online.
Any guidance will be appreciated.
Habari wakuu,
Nina wazo la kuanzisha timu ndogo ya watu wenye hamu ya kujifunza, kushirikiana, na kujenga mradi halisi wa teknolojia ya kilimo (AgTech) ambao unaweza kuwa na mchango katika...
Huwezi kuzuia teknolojia, inaenda mbele kila siku. Tayari tunaona mwelekeo wa simu kuunganishwa moja kwa moja na satellite internet bila haja ya dish wala minara ya kawaida ya simu. Mfumo huu wa...
Wakubwa habarini za leo, kuna hii kampuni ya wakenya inaitwa Bunny ndio wana tengeneza haya majiko ya ECOA induction cookers, naomba ambaye ameyatumia anipe uzoefu kabla sija jilipua kuchukua.
Pengine wewe unayesoma uzi huu unawaza ni lini utapata pesa ya kununua simu lakini kwa mtu mwingine hali ni tofauti kabisa ...!
Kivipi ,? ..... pesa Anayo lakini hajui ni simu gani nzuri atanunua...
Tanzania kila inayo itwa leo watu hutapeliwa ,wengi hupotezea kwa sababu ya udogo wa pesa wanazo tapeliwa ….
Fikiria kama ukitapeliwa laki 3,4 au MILLIONI.
Ni pesa nyingi eeh…. Kama haupo makini...
Wakuu nashindwa kuelewa kuhusu FB post engagement. Kwa maana utakuta post ina 350 views, 13 engagement 4 likes, 2 comments, total interaction 6. Sasa je hizo engagement 7 Zimetoka wapi...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kinashiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, kwa lengo la kutoa elimu kwa wananchi kuhusu...
Shtuka! Kitu unachotakiwa kuangalia kabla hujanunua simu ya "Mtumba" au ile iliyoandikwa "Refurbished" dukani.
Watu wengi wakitaka kununua simu kali (kama iPhone au Samsung) kwa bei nafuu...
Baada ya kuzindua DJI OSMO Pocket 4 mwezi April, DJI pia walidokeza kidogo Pocket 4 Pro, ambayo ilionekana inakuja na lens mbili. Finnaly wamefanya officially launch.
Hii pocket gimbal camera...
New malware spreading across Android devices via text messages promises free Amazon gift cards but delivers only spam to everyone on the devices contact list.
The Gazon threat, as it is...
Kozi ya Jinsi ya Kutengeneza Simu (Mobile Repair Full Course) ni mwongozo wa kina unaokufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kutambua, kuchunguza na kurekebisha matatizo mbalimbali ya simu za...
Wakuu naombeni msaada wa video downloader ambayo isio ya kulipia maana nimejaribu kulipia snapany inakuwa inakataa ...ningefurahi zaidi kupata ya ku copy na ku paste link .... shukrani
Je, umedondosha simu yako
kwenye maji au imeingiwa maji?.
Usipate tabu, Ukichukua hatua za
haraka unaweza ukaiokoa
isiharibike.
Hatua ya kwanza kabisa itoe
kwenye maji haraka iwezekanavyo
kwani...
Samsung baada ya kushika soko kwa muda mrefu wakajisahau na kuona wanaweza kufanya wanachojisikia sokoni , google pixel wakaja wakawapiga bao na sasa vijana wengi hupendelea zaidi kuliko Samsung...
wakuu tumaini ni wazima afya nilikuwa nauliza hivi kuna watu wanaagiza mizigo kikuu nilikiwa nataka kuagiza external driver naona kule 4 TB wanauza 35k.
hivi naomba kujua bidhaa ni Og au
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.