Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari wakuu? Kama kichwa cha habari hapo juu. Huwa mara nyingi tunaona tu mitandaoni machimbo ya nguo na viatu hapo kariakoo. Na bei zake rafiki. Kama kuna watu wanafahamu machimbo ya LAPTOP na...
0 Reactions
6 Replies
199 Views
Habari za muda huu wakuu Nataka kununua simu ya Google Pixel na macho yangu yapo kwenye Pixel 7 pro zaidi kuliko 7plane Hata hivyo, nimeona mtaani watu wengi wanatumia na kusifia zaidi Pixel 7...
0 Reactions
7 Replies
154 Views
Good day wakuu, Nahitaji registered member wa hii board ya ICT anisaidie mwongozo, kuna vipengele vinachanganya wakati wa kujaza online. Any guidance will be appreciated.
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Habari wakuu, Nina wazo la kuanzisha timu ndogo ya watu wenye hamu ya kujifunza, kushirikiana, na kujenga mradi halisi wa teknolojia ya kilimo (AgTech) ambao unaweza kuwa na mchango katika...
0 Reactions
0 Replies
72 Views
Huwezi kuzuia teknolojia, inaenda mbele kila siku. Tayari tunaona mwelekeo wa simu kuunganishwa moja kwa moja na satellite internet bila haja ya dish wala minara ya kawaida ya simu. Mfumo huu wa...
8 Reactions
13 Replies
426 Views
Wakubwa habarini za leo, kuna hii kampuni ya wakenya inaitwa Bunny ndio wana tengeneza haya majiko ya ECOA induction cookers, naomba ambaye ameyatumia anipe uzoefu kabla sija jilipua kuchukua.
3 Reactions
8 Replies
373 Views
Wadau hivi app ya prox tv nawezaje kuinstall kwenye PC?
0 Reactions
0 Replies
58 Views
Pengine wewe unayesoma uzi huu unawaza ni lini utapata pesa ya kununua simu lakini kwa mtu mwingine hali ni tofauti kabisa ...! Kivipi ,? ..... pesa Anayo lakini hajui ni simu gani nzuri atanunua...
6 Reactions
38 Replies
4K Views
Tanzania kila inayo itwa leo watu hutapeliwa ,wengi hupotezea kwa sababu ya udogo wa pesa wanazo tapeliwa …. Fikiria kama ukitapeliwa laki 3,4 au MILLIONI. Ni pesa nyingi eeh…. Kama haupo makini...
7 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu nashindwa kuelewa kuhusu FB post engagement. Kwa maana utakuta post ina 350 views, 13 engagement 4 likes, 2 comments, total interaction 6. Sasa je hizo engagement 7 Zimetoka wapi...
0 Reactions
18 Replies
240 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kinashiriki katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026 yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, kwa lengo la kutoa elimu kwa wananchi kuhusu...
0 Reactions
1 Replies
100 Views
Shtuka! Kitu unachotakiwa kuangalia kabla hujanunua simu ya "Mtumba" au ile iliyoandikwa "Refurbished" dukani. Watu wengi wakitaka kununua simu kali (kama iPhone au Samsung) kwa bei nafuu...
15 Reactions
21 Replies
527 Views
Baada ya kuzindua DJI OSMO Pocket 4 mwezi April, DJI pia walidokeza kidogo Pocket 4 Pro, ambayo ilionekana inakuja na lens mbili. Finnaly wamefanya officially launch. Hii pocket gimbal camera...
2 Reactions
6 Replies
109 Views
New malware spreading across Android devices via text messages promises free Amazon gift cards but delivers only spam to everyone on the device’s contact list. The “Gazon” threat, as it is...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kozi ya Jinsi ya Kutengeneza Simu (Mobile Repair Full Course) ni mwongozo wa kina unaokufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kutambua, kuchunguza na kurekebisha matatizo mbalimbali ya simu za...
15 Reactions
24 Replies
617 Views
Wakuu naombeni msaada wa video downloader ambayo isio ya kulipia maana nimejaribu kulipia snapany inakuwa inakataa ...ningefurahi zaidi kupata ya ku copy na ku paste link .... shukrani
3 Reactions
2 Replies
108 Views
Wadau msije kukosea kudukua simu za wapenzi wenu mtakufa na presha bure...........................kuleni maisha bhn .....
0 Reactions
5 Replies
166 Views
Je, umedondosha simu yako kwenye maji au imeingiwa maji?. Usipate tabu, Ukichukua hatua za haraka unaweza ukaiokoa isiharibike. Hatua ya kwanza kabisa itoe kwenye maji haraka iwezekanavyo kwani...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Samsung baada ya kushika soko kwa muda mrefu wakajisahau na kuona wanaweza kufanya wanachojisikia sokoni , google pixel wakaja wakawapiga bao na sasa vijana wengi hupendelea zaidi kuliko Samsung...
8 Reactions
198 Replies
9K Views
wakuu tumaini ni wazima afya nilikuwa nauliza hivi kuna watu wanaagiza mizigo kikuu nilikiwa nataka kuagiza external driver naona kule 4 TB wanauza 35k. hivi naomba kujua bidhaa ni Og au
5 Reactions
17 Replies
494 Views
Back
Top Bottom