Akili Bandia (Artificial Intelligence – AI) imeanza kubadilisha namna dunia inavyofanya kazi. Kutoka kwenye biashara, benki, kilimo, hadi elimu, mashine na mifumo ya kompyuta yenye uwezo wa...
Kwanini matumiz ya vifaa vya mawasiliano vilivyoungwa au kutumia satelaiti ni haramu kwa matumizi ya kijamii na ata ukitaka kutumia kihalali basi utakutana na vikwazo vingi sana tena nimegundua...
Kwanza kwa niaba ya Familia nzima ya HONOR Tanzania (inatamkwa HONA) tunashukuru Timu ya 'Jamii Forums' kuturuhusu kuja huku kwaajili ya kuendeleza elimu na ubadilishanaji wa ujuzi na kuchangia...
Nataka nianze work from home.
Sasa naulizia hizi PC naziona online bei Tsh 550-750k All in One, majina makubwa kama Dell, HP, Lenovo.
Sasa niko hapa najiuliza, zina faa au danganya toto?
Kama...
The browser is the "engine," but the proxy is the "fuel." Even a Ferrari (MoreLogin) won't move if you put water in the tank (Free Proxy/VPN).
--
Kwa sasa natumia Browser hizi:
Incogniton...
ChatGPT ni artificial intelligence iliotengenezwa na openAI, unaweza iuliza ikuandikie barua, report, inaweza kutengeneza website na mengine mengi, yajayo ni hatari sana
Hii kitu nimekuwa...
This ebook introduces the world of Data Science in a simple and practical way. It covers key concepts such as data collection, cleaning, analysis, visualization, and machine learning.
You will...
Habari wadau wa Technologia natumai mko poa
Msaada wi-fi na hotspot hazifanyi kazi kwenye simu yangu nahii imetokea baada ya AC kuzingua sasa nimejaribu kureset mobile network lakini bado...
Simu in Samsung A12 Nili nunua unboxed haijawahi sumbua kabisa ,ila hili tatizo lime anza baada ya kubadii kioo Nili peleka kwa fundi aka badili waya wa mtandao lakini tatizo Bado lipo aka...
Habari zenu wakuu kama heading inavojieleza hapo juu, Nina mpango wa kuanzisha biashara ya wifi internet mtaani kwa kupitia router na kuwalipisha wateja kwa masaa Ninaomba kuuliza je kisheria iko...
Wakuu habari,
Nilikuwa nipo katika project kubwa sana ya kuunda live stream platform ya kisasa yenye teknolojia ya mwaka 2026 inayo tumia Ai JamiiAi kwenye usimamizi moderation/management.
Vitu...
Habari zenyu wakurungwandu.
Nisiwachiahe na hizi swaum. Nijielekeze kwenye mada moja kwa moja.
1. Nahitaji fundi wa projector aina ya Epson. Shida yake ni kutowaka
2. TCL flat screen 42'...
Naomba kujua hilo kadi ZOTE za virtual prepaid hadi bank ya nmb zimeshindwa Kwa kadi za virtual aka prepaid zimeinyesha wazi kukataliwa Sasa nilivyokuja Kwa bank nmb imegoma hii hapa chini ni...
Moja kwa moja kwenye uzi. Nimechanganya media, dishi ni la Str Times na king'amuzi ni cha Azam. Chaneli za Star Times zinaonekana kwenye skrini sambamba na chaneli za Azam. Sijalipia za Star Times...
Mambo vipi wadau!
Naomba mchango wenu kimawazo kuhusu simu yenye camera nzuri kwa ajili ya matumizi ya kupigia picha na video za kupost kwenye page yangu ya biashara ya instagram, tiktok na...
Hivi karibuni Halotel waliansa kuuza rouer zao za 5g.
Naamini humu ndani naamini kuna mtu au watu watakuwa washaitumia.
Tunaomba mtupe mrejesho kuhusu ufanisi wake
Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.