Shtuka! Kitu unachotakiwa kuangalia kabla hujanunua simu ya "Mtumba" au ile iliyoandikwa "Refurbished" dukani.
Watu wengi wakitaka kununua simu kali (kama iPhone au Samsung) kwa bei nafuu...
Habari za muda huu wakuu its Blue monday hope mko poa ambao wanaumwa Mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehema mtakuwa sawa
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nashindwa kudownload X (Twitter) kwa...
Modes and Routines (Zamani zikiitwa Bixby Routines kwenye simu za Samsung) ni kipengele kinachowezesha simu yako kujiongoza yenyewe (automation) kufanya mambo mbalimbali kulingana na wakati, eneo...
HABARI MPYA🚨: Wahandisi wamependekeza chombo kikubwa cha angani chenye urefu wa maili 36 kinachoitwa 'Chrysalis'. Chombo hiki kinaweza kubeba watu 2,400 kwenda sayari ya Alpha Centauri, ambayo ipo...
Baada ya miaka karibu 10 ya kuwasaidia mamilioni ya watumiaji duniani, Google Assistant anaondoka rasmi kwenye simu za Android.
🤖 Kuanzia sasa, Google anabadilisha kila kitu kwa kumleta Gemini...
Mambo vipi wadau! 👋 Nimepata dili za mikopo ya FAFSA na sasa niko kwenye mchakato wa kuchagua akaunti nzuri ya benki (student checking account) kwa ajili ya kupokea hizi hela. Natafuta benki yenye...
Wadau,
Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...
Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..
Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua...
Wanasema pesa ngumu 😃 hakuna Kuonga Aiseeh!!!
YouTube imeongeza kiwango cha watch hours kutoka 4,000 hadi 8,000 kwa creators wapya wanaotaka kufuzu na Kuanza kulipwa kupitia mapato ya matangazo...
Apple inaonekana kutengeneza mfumo mpya unaoitwa “Apple Reference Image” ambao unaweza kusaidia kuthibitisha kwamba picha fulani ilipigwa moja kwa moja na kamera ya iPhone. 🤯
Katika dunia ambayo...
Watumiaji wa Galaxy, jiandaeni!
Samsung inaendelea na mpango wa kuleta Android 17 kupitia One UI 9, na simu nyingi za Galaxy zitaingia kwenye orodha ya kupata mfumo huu mpya. 🤯
Kama unatumia...
Kwa hii Redmi hapa Wamepitliza Aiseeh
Kuna simu mpya ya Redmi inakuja lakini uwezo wake sasa 🔥🔥, inaweza kuifanya iwe moja ya simu zenye battery kubwa zaidi kwenye flagship za mwaka huu.
Redmi...
Sasa hivi mambo yamebadilika kabisa! 😱 Adobe imeleta tools zake ndani ya ChatGPT, ikiwemo Photoshop, Firefly, Premiere, Acrobat na Adobe Express. 🎨📸🎬
Kuanzia Agosti 6, 2026, Adobe imeleta Adobe...
🍎 Apple alisema “iOS 26 ni salama kabisa…”
😏 haitaweza kuwa na jailbreak 👀
😈Jailbreak community: “Hold my iPhone!” 😂🔥
Hatimaye developer maarufu ulimwenguni Lars Froder anayejulikana kama opa334...
Neno artificial intellency linaleta tafsili tata haswa kwa wataalamu wetu wa lugha ya kiswahi na viongozi wa serikali maana wengine husema ni akili bandia na wengine husema akili mnemba.
Sasa...
TikTok inataka kugeuka kuwa Whatsapp 👋, baada ya kuleta feature ya VOICE CALLS ndani ya DM! 📱📞
Ndiyo! Badala ya kutoka TikTok kwenda WhatsApp kupiga simu, baadhi ya watumiaji wameanza kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.