Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Shtuka! Kitu unachotakiwa kuangalia kabla hujanunua simu ya "Mtumba" au ile iliyoandikwa "Refurbished" dukani. Watu wengi wakitaka kununua simu kali (kama iPhone au Samsung) kwa bei nafuu...
15 Reactions
22 Replies
640 Views
Wadau mimi si mjuzi sana wa mambo haya nadhani chief mkwawa atasaidia code *#0283# zitakupa details
0 Reactions
24 Replies
46K Views
Habari za muda huu wakuu its Blue monday hope mko poa ambao wanaumwa Mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehema mtakuwa sawa Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nashindwa kudownload X (Twitter) kwa...
1 Reactions
13 Replies
150 Views
Modes and Routines (Zamani zikiitwa Bixby Routines kwenye simu za Samsung) ni kipengele kinachowezesha simu yako kujiongoza yenyewe (automation) kufanya mambo mbalimbali kulingana na wakati, eneo...
5 Reactions
7 Replies
106 Views
HABARI MPYA🚨: Wahandisi wamependekeza chombo kikubwa cha angani chenye urefu wa maili 36 kinachoitwa 'Chrysalis'. Chombo hiki kinaweza kubeba watu 2,400 kwenda sayari ya Alpha Centauri, ambayo ipo...
1 Reactions
18 Replies
262 Views
Baada ya miaka karibu 10 ya kuwasaidia mamilioni ya watumiaji duniani, Google Assistant anaondoka rasmi kwenye simu za Android. 🤖 Kuanzia sasa, Google anabadilisha kila kitu kwa kumleta Gemini...
7 Reactions
6 Replies
196 Views
Mambo vipi wadau! 👋 Nimepata dili za mikopo ya FAFSA na sasa niko kwenye mchakato wa kuchagua akaunti nzuri ya benki (student checking account) kwa ajili ya kupokea hizi hela. Natafuta benki yenye...
0 Reactions
3 Replies
52 Views
Wadau, Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana... Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote.. Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua...
100 Reactions
1K Replies
156K Views
Wanasema pesa ngumu 😃 hakuna Kuonga Aiseeh!!! YouTube imeongeza kiwango cha watch hours kutoka 4,000 hadi 8,000 kwa creators wapya wanaotaka kufuzu na Kuanza kulipwa kupitia mapato ya matangazo...
3 Reactions
1 Replies
84 Views
Apple inaonekana kutengeneza mfumo mpya unaoitwa “Apple Reference Image” ambao unaweza kusaidia kuthibitisha kwamba picha fulani ilipigwa moja kwa moja na kamera ya iPhone. 🤯 Katika dunia ambayo...
1 Reactions
6 Replies
104 Views
Watumiaji wa Galaxy, jiandaeni! Samsung inaendelea na mpango wa kuleta Android 17 kupitia One UI 9, na simu nyingi za Galaxy zitaingia kwenye orodha ya kupata mfumo huu mpya. 🤯 Kama unatumia...
5 Reactions
14 Replies
247 Views
Nawatumia wote hao..lakini kuna wakati mwingine wanakupa majibu ya uongo. Je mwanajf kati yao hao jamaa kwako yupi ana ahueni?
6 Reactions
53 Replies
1K Views
Msaada wa kupata dj mixing application kwa Android, yenye uwezo mzuri wa kucheza kwa kutafuta BPM bila kukwama
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Kwa hii Redmi hapa Wamepitliza Aiseeh Kuna simu mpya ya Redmi inakuja lakini uwezo wake sasa 🔥🔥, inaweza kuifanya iwe moja ya simu zenye battery kubwa zaidi kwenye flagship za mwaka huu. Redmi...
7 Reactions
15 Replies
203 Views
Sasa hivi mambo yamebadilika kabisa! 😱 Adobe imeleta tools zake ndani ya ChatGPT, ikiwemo Photoshop, Firefly, Premiere, Acrobat na Adobe Express. 🎨📸🎬 Kuanzia Agosti 6, 2026, Adobe imeleta Adobe...
5 Reactions
16 Replies
202 Views
🍎 Apple alisema “iOS 26 ni salama kabisa…” 😏 haitaweza kuwa na jailbreak 👀 😈Jailbreak community: “Hold my iPhone!” 😂🔥 Hatimaye developer maarufu ulimwenguni Lars Froder anayejulikana kama opa334...
1 Reactions
3 Replies
92 Views
Wakuu ni application gan nzurinaweza kuitumia kuhack hizi paid apps mfano za betting,ukiachana na Luck patcher?
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Hapa kweli kazi ipo, GitHub kila mara ipo down mara feature hii haifanyi kazi au ile Sasa leo mtu umefanya maboresho una push GitHub imegoma
3 Reactions
8 Replies
144 Views
Neno artificial intellency linaleta tafsili tata haswa kwa wataalamu wetu wa lugha ya kiswahi na viongozi wa serikali maana wengine husema ni akili bandia na wengine husema akili mnemba. Sasa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
TikTok inataka kugeuka kuwa Whatsapp 👋, baada ya kuleta feature ya VOICE CALLS ndani ya DM! 📱📞 Ndiyo! Badala ya kutoka TikTok kwenda WhatsApp kupiga simu, baadhi ya watumiaji wameanza kuona...
1 Reactions
1 Replies
54 Views
Back
Top Bottom