Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Sahau kabisa muundo wa Zamani (Menu ya Zamani), toleo jipya la FC 27 The Grounds ndiyo moja ya mabadiliko makubwa yanayotarajiwa kuja kwenye EA Sports FC 27. Badala ya kuchagua mechi kupitia...
0 Reactions
4 Replies
150 Views
Habari ndugu. Kama kichwa kinavojieleza hapo juu ipi ni kozi nzuri kati ya Computer science na software engineering
1 Reactions
4 Replies
103 Views
Kwa budget hiyo nitapata simu ya aina Gani nzuri yenye camera ang'avu quality, betri yake itakayokaa na chaji muda mrefu, na storage yake capacity nzuri
7 Reactions
35 Replies
2K Views
Tunatumia WhatsApp kwa sababu ya mazoea tu ya mtaani, lakini kiufundi, Telegram ipo miaka mia mbele. WhatsApp ni kama usafiri wa umma, lakini Telegram ni mnyama mwingine kabisa. Mambo yako hivi...
35 Reactions
56 Replies
2K Views
[Swahili] Katika video hii, wataalamu kutoka OpenAI wanatambulisha kizazi kipya cha ChatGPT Voice (GPT Live 1), teknolojia inayobadilisha namna tunavyoingiliana na mashine. Tofauti na mifumo ya...
6 Reactions
6 Replies
161 Views
Hello bosses, Natumai mu wazima, na wagonjwa Mungu awajalie afya njema. Napitia mabadiliko makubwa maishani mwangu. Nilijiunga na kampuni fulani ya logistics mwaka jana kabla sijamaliza chuo. At...
6 Reactions
17 Replies
267 Views
Watu wengi wanazani kila AI inaweza kumsaidia anacho kifikiri au akitakacho kumbe sio. AI nyingi zinatifautiana kwa jinsi zilivyoundwa au uchakataji wake wa data a logarithm. Kuna AI zipo kwa...
4 Reactions
9 Replies
350 Views
Ili kupata uzoefu wa simu za kiwango cha juu (flagship) nchini Tanzania kwa mwaka 2026, Samsung Galaxy S26 Ultra ndiyo chaguo namba moja. Inapatikana madukani kwa makadirio ya TZS 3,500,000 (GB...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
🚨 UKWELI MCHUNGU: Usinunue TV Tanzania Kabla Hujausoma Mchanganuo Huu! 📺⚠️ Kununua TV siku hizi imekuwa kama kamari. Kwenye duka moja unakuta TV kumi, zote zinaonyesha picha inayofanana, lakini...
19 Reactions
45 Replies
1K Views
[Swahili] Katika video hii, wataalamu kutoka OpenAI wanatambulisha kizazi kipya cha ChatGPT Voice (GPT Live 1), teknolojia inayobadilisha namna tunavyoingiliana na mashine. Tofauti na mifumo ya...
0 Reactions
1 Replies
60 Views
Kwa wale wenzangu na mimi wazee wa kuchizika sana na mipira....najua tunavyopata tabu kulipia DSTV kuangalia mipira mbalimbali ya ulaya..vifurushi bei ghali, inatulazimu tu kwenda kuangalia kwenye...
6 Reactions
76 Replies
15K Views
Wakuu nahitaji msaada wenu nifunge notification za whatsapp mana kila waka zinapiga makele mpaka mb zikate NIFANYEJE?
0 Reactions
7 Replies
99 Views
Je, unatumia kifaa cha Android? Je, unatafuta mbadala wa WhatsApp baada ya kuitumia kwa muda mrefu? Ndiyo, inawezekana, ukiwa na Kifaa cha Android iwe Simu, Tablet huna ulazima wa ku download...
3 Reactions
47 Replies
3K Views
Lengo nikutumia king'amuz cha antena kwenye mkoa ambapo kuna huduma ya ving'amuz vya dishi tu sasa je dish litafanya kaz kwenye dekoda ya antena (AZAM TV)
4 Reactions
3 Replies
112 Views
Habari za Midaa Wadau!! Mtaalamu wa computer anisaidie, nimepata changamoto. Daaah, laptop yangu inagoma kuwaka Adapter Iko gudi tu, ni Dell
1 Reactions
11 Replies
884 Views
Kwa wale wapenzi wa game za mpira kwenye pc karibuni tujumuikeni hapa hasa kwa wale wa pc na hata console pia sio mbaya. Lengo ni kupeana mambo kama yafuatayo-: Latest patch (update...
20 Reactions
1K Replies
176K Views
Wakuu katika pita zangu kwenye application ya Vodacom(Mpesa)nimeona kuna ku link account ya PayPal..Sasa naomba kujua kama inapokea..je mpesa wameingia partnership na PayPal???
4 Reactions
56 Replies
615 Views
JINSI YA KULIFANYA JOKOFU (FRIDGE) LAKO LIDUMU MIAKA 10+ Watu wengi hununua friji na kuliacha tu jikoni hadi pale linapoacha kupoza. Ukweli ni kwamba, friji ni kama gari; lisipopata "service"...
11 Reactions
18 Replies
422 Views
Eti wadau Samsung A35 5G 6/128 shngapi kwenye box?? Kuna mtu anataka kuniuzia hapa mpya
2 Reactions
2 Replies
165 Views
Katika Uzi huu tujadili printer nzuri za kuprint kwa level za stationery mpaka viwanda vidogo Vidogo au kampuni za kufanya printing. Tujadili na kuuliza maswali kuhusu aina ya printer, ubora ...
5 Reactions
138 Replies
5K Views
Back
Top Bottom