Natumia NTT Docomo haisomi mtandao.

Natumia NTT Docomo haisomi mtandao.

COLTAN

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
343
Reaction score
313
Habarini.
Msaada natumia Docomo F-52A ya mtumba haisomi mtandao.
 

Attachments

  • IMG_20260716_165221_261.jpg
    IMG_20260716_165221_261.jpg
    1.7 MB · Views: 4
  • IMG_20260716_165251_926.jpg
    IMG_20260716_165251_926.jpg
    1.9 MB · Views: 4
Zamani ilikua inasoma?
Kuna mawili hapo either ni lock ya mtandao (docomo ni mtandao wa simu) ama imekuwa blacklisted,

Kama ni network lock kuna mafundi walio specialise huko, ni KAZI ndogo Ila kama ipo blacklisted ukifuata Sheria ina mlolongo kidogo mpaka upate fundi alieidhinishwa na TCRA, upate IMEI ya Kihalali.
 
Zamani ilikua inasoma?
Kuna mawili hapo either ni lock ya mtandao (docomo ni mtandao wa simu) ama imekuwa blacklisted,

Kama ni network lock kuna mafundi walio specialise huko, ni KAZI ndogo Ila kama ipo blacklisted ukifuata Sheria ina mlolongo kidogo mpaka upate fundi alieidhinishwa na TCRA, upate IMEI ya Kihalali.
Ndio ilikuwa inasoma.nikiweka laini ya tigo inasoma halafu haisomi Tena.nikiweka laini ya halotel,Voda,Airtel haisomi kabisaaa.
 
Ndio ilikuwa inasoma.nikiweka laini ya tigo inasoma halafu haisomi Tena.nikiweka laini ya halotel,Voda,Airtel haisomi kabisaaa.
Inaweza kuwa blacklisted mkuu, Ila haidhuru jaribu Kwanza jamaa wa Kutoa lock angalau troubleshoot Tu ujue kama ni docomo wenyewe wmefunga ama mambo makubwa zaidi.

Pia kama ni blacklist angalia kama simu ina esim jaribu kuweka esim uone kama itasaidia
 
Back
Top Bottom