Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Mwenye uhitaji wa hii hitu jamani, vyuma vimekaza. Bei laki tatu na nusu(350,000), inazungumzika. Ipo Dar Es Salaam/Tabata Heath
2 Reactions
2 Replies
103 Views
Wakuu Kuna yeyote humu yuko na side hustles pale Shutterstock? Kama upo naomba ushare experience Yako hapa tafadhali🙏
1 Reactions
1 Replies
69 Views
Wakuu nimeletewa tablet hapa wameniambia dogo alikua anachezea gemu Sasa baadaye wakafungua Kwa password Ile Ile ya 2022 lakini Ngoma inasema wrong password. Nimejaribu kufanya hardreset lakini...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Kuna blogger mmoja muhindi ni best yangu sana. Ubest wetu ulianzia kule freelancer.com tukawa tunachat mara kwa mara mpaka tumekuwa mabest akaja Tanzania kutembelea Arusha na Kilimanjaro. Jamaa...
19 Reactions
98 Replies
12K Views
N:B: Ni muhimu kupima Network kwenye eneo lako kabla ya kununua kuzuia hasara. Haya mambo ya kununua vifurushi vya buku buku unaweza kujikuta unaunga mara 3 na zaidi kwa siku, haba na haba hujaza...
35 Reactions
201 Replies
12K Views
SOMO LA LEO ♌️: JINSI YA KUFUNGUA SIMU ULIYOSAHAU PASSWORD KWA KUTUMIA KOMPYUTA 💻📱 Kama umesahau password yako (Pattern, PIN, Fingerprint) usikimbilie Kariakoo unaweza kuweka sawa mwenyewe kwa...
9 Reactions
6 Replies
5K Views
DJI watabe wa drones, gimbals na camera kutoka China, leo officially wametuletea DJI Pocket 4! Kwa mliowahi kutumia Pocket 3, nadhani mtakua mmejua ni kitu gani DJI wamefanya. Alot of upgrades...
4 Reactions
1 Replies
133 Views
Nahitaji Speaker na Mic mbili zile zinazotumika sana kuhubiria Injili barabarani(mitaani). Naomba mnishauri ni aina(brand) ipi ina ubora wa sauti, portable na sifa nyingine muhimu za ziada...
4 Reactions
10 Replies
141 Views
Habari wadau wa audio. Natafuta Subwoofer ya inchi 10 (Used/Mitumba) kwa ajili ya DIY project yangu ya chumbani. Target yangu ni kupata Quality Bass kwa ajili ya RnB na Trap (Tight bass, siyo...
3 Reactions
6 Replies
135 Views
Kwa kipindi sasa nimekuwa nafuatilia computer nzuri kwa upande wa programming na video editing. Sio mtaalamu wa video editing ila napenda kufanya tu for fun. Kwa kuwa nimebobea kidogo kwenye...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wakuu? Nahitaji smartphone nzuri affordable isiyozidi laki Tano inayoweza kutunza charge angalau kwa saa 30 au zaidi Nimeambiwa simu zenue betri ya 7000mHA zinakaa na charge ikiwepo...
3 Reactions
7 Replies
255 Views
ClimCam is an Earth observation tool developed through the UN Office for Outer Space Affairs and Airbus program, set for deployment on the ISS to monitor East Africa multiple times daily for early...
0 Reactions
3 Replies
159 Views
GoPro Hero ni jina maarufu sana kwa wapenzi wa camera, especially Action Camera. Tokea Hero 1 mwaka 2009 hadi Hero 13 Black mwaka 2025 mengi sana yametokea kuboresha tasnia ya Action Camera...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Hii December nimepigwa ban mara sita Nimetumia number mpya hiyo hiyo ikapigwa ban Nimeadd member kwenye group nikapigwa ban Nimetuma text kwa chatgpt nikapigwa ban Kurud hiv vitu vikawa...
3 Reactions
39 Replies
557 Views
Wakuu ukisikiliza stori za dark web mtandano na mitaani unaweza pagawa. Lakin huko dark web hamna lolote
25 Reactions
373 Replies
27K Views
Wataalamu ebu nishaurini. Nina iphone 12 pro max nataka kununua iphone 14 pro max au samsung s22 ultra. Which way should I go!
6 Reactions
64 Replies
7K Views
The Vice Assassination is the third assassination mission given to Franklin by Lester and represents an opportunity for enormous investment return in the Stock Market for Fruit and Facade. It is...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Construction sites – contracts out and about today are synonymous with the deafening sound of machines and people buzzing around, the never-ending pressure to finish activities. But the truth of...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana-tech, Leo nataka kuwashirikisha mradi wangu mmoja wa open-source unaitwa OllaBridge. Huu mchongo utawasaidia sana ma-developer wenzangu wanaotumia shared hosting (kama Hostinger...
3 Reactions
0 Replies
82 Views
Akili Bandia (Artificial Intelligence – AI) imeanza kubadilisha namna dunia inavyofanya kazi. Kutoka kwenye biashara, benki, kilimo, hadi elimu, mashine na mifumo ya kompyuta yenye uwezo wa...
0 Reactions
0 Replies
138 Views
Back
Top Bottom