Nimekuja kuuliza tena hii ishu. Kuna data za muhimu sana zimekufa na hard drive. Je kuna hapa tuna data recovery centre? Centre ya wale wataalamu wenye maabara kabisa. Kama hawa jamaa...
Nimepoteza Data Zangu Je, Kuna Tumaini la Kurejesha?
Kupoteza data ni jambo linaloweza kuwa na madhara makubwa, iwe ni picha za familia, nyaraka za biashara, au kazi za miaka mingi. Hali hii...
Habari wana Tech,
Nina mpango wa kununua laptop kwa ajili ya matumizi ya ofisini, pamoja na usimamizi wa mifumo ya biashara. Kabla sijafanya manunuzi, naomba ushauri kutoka kwa wadau wenye uzoefu...
#mwanakidigitali najua pengine kuna muda unakuwa unapesa yako lakini unapatwa na kigugumizi sana hasa unapo fikiria simu gani unataka kununua na itakayo kufaa . Leo nitakutajia listi ya simu aina...
Salam.
Kuna jamaa ni mmoja kati ya maadmin wa4, sasa amewaondoa uadmin wenzake na kubaki yeye. Anafanya mambo ya hovyo.
Kuna njia gani ya kufanya ili Kumpoka U-Admin?
Note: Kutengeneza group...
Wakuu habari za majukumu? Natumai mnaendelea vizuri na majukumu ya maisha ya kila siku. Kutokana na changamoto ya janga la Korona hivyo inatupasa kujikita zaidi katika "digital marketing" and...
Sure situmii Samsung na wala sio kampuni namba moja ya simu kwenye moyo wangu, ila ukitoa kampuni ya simu ninayoipenda kuliko zote, basi Samsung ndio inafuatia moyoni mwangu
Kuna sababu nyingi...
Computers 'to match human brains by 2030'
Steve Connor
February 24 2008 at 11:41AM
Boston - Computer power will match the intelligence of human beings within the next 20 years...
Here’s something interesting about modern tech:
Your phone today likely has more computing power than the computers used during the Apollo 11 Moon Landing. The guidance computer that helped send...
Ninazo kumbukumbu kwenye mikanda ya vhs na ninahitaji kuziweka kwenye mfumo wa computer.
Software za kunakili mikanda kutoka kwenye deki zipo kibao lakini nachokosa ni deki ya mikanda
Ni wapi...
Wakuu, leo September 9 Apple wamezindua simu zao mpya iPhone 17 series pamoja na bidhaa nyingine kama airpods na Apple watch matoleo mapya.
Kwa kuanza na iPhone, jumla ya simu nne zimezinduliwa...
Wadau,
Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...
Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..
Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua...
Wakuu habari za mida!
Nilinunua simu mkoa wa kigoma nikizani nmenunua samsung galaxy s10 plus... kumbe nmenunua docomo s10 plus sasa kinachonikera ni kuona ikiwaka inaonesha logo ya docomo...
Wakati wa kuzindua iPhone 18 series itatoka na iPhone Fold. Ni iPhone ya kukunja ya kwanza kutoka Apple.
Base model ya 256 GB itakua $1,999 wakati ya juu ya 1TB itakua $2,400.
Hapo bado ushuru...
Poleni na kazi jamani, nilikua nachangamoto kwenye umeme wa solar nina solar panel Wat 100, betri N 80 la unga, Inverter 200 W na charge contro changamoto iliyopo hivi vitu vilipo fungwa vilikua...
Wadau nimeibiwa simu juz kati, hivo napata shida kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki
Naomba anae jua jinsi ya kupiga simu kwa kutumia computer anielekeze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.