Wakuu nimeletewa tablet hapa wameniambia dogo alikua anachezea gemu Sasa baadaye wakafungua Kwa password Ile Ile ya 2022 lakini Ngoma inasema wrong password. Nimejaribu kufanya hardreset lakini...
Kuna blogger mmoja muhindi ni best yangu sana. Ubest wetu ulianzia kule freelancer.com tukawa tunachat mara kwa mara mpaka tumekuwa mabest akaja Tanzania kutembelea Arusha na Kilimanjaro.
Jamaa...
N:B: Ni muhimu kupima Network kwenye eneo lako kabla ya kununua kuzuia hasara.
Haya mambo ya kununua vifurushi vya buku buku unaweza kujikuta unaunga mara 3 na zaidi kwa siku, haba na haba hujaza...
SOMO LA LEO ♌️: JINSI YA KUFUNGUA SIMU ULIYOSAHAU PASSWORD KWA KUTUMIA KOMPYUTA 💻📱
Kama umesahau password yako (Pattern, PIN, Fingerprint) usikimbilie Kariakoo unaweza kuweka sawa mwenyewe kwa...
DJI watabe wa drones, gimbals na camera kutoka China, leo officially wametuletea DJI Pocket 4!
Kwa mliowahi kutumia Pocket 3, nadhani mtakua mmejua ni kitu gani DJI wamefanya. Alot of upgrades...
Nahitaji Speaker na Mic mbili zile zinazotumika sana kuhubiria Injili barabarani(mitaani).
Naomba mnishauri ni aina(brand) ipi ina ubora wa sauti, portable na sifa nyingine muhimu za ziada...
Habari wadau wa audio. Natafuta Subwoofer ya inchi 10 (Used/Mitumba) kwa ajili ya DIY project yangu ya chumbani. Target yangu ni kupata Quality Bass kwa ajili ya RnB na Trap (Tight bass, siyo...
Kwa kipindi sasa nimekuwa nafuatilia computer nzuri kwa upande wa programming na video editing. Sio mtaalamu wa video editing ila napenda kufanya tu for fun. Kwa kuwa nimebobea kidogo kwenye...
Habari wakuu?
Nahitaji smartphone nzuri affordable isiyozidi laki Tano inayoweza kutunza charge angalau kwa saa 30 au zaidi
Nimeambiwa simu zenue betri ya 7000mHA zinakaa na charge ikiwepo...
ClimCam is an Earth observation tool developed through the UN Office for Outer Space Affairs and Airbus program, set for deployment on the ISS to monitor East Africa multiple times daily for early...
GoPro Hero ni jina maarufu sana kwa wapenzi wa camera, especially Action Camera.
Tokea Hero 1 mwaka 2009 hadi Hero 13 Black mwaka 2025 mengi sana yametokea kuboresha tasnia ya Action Camera...
Hii December nimepigwa ban mara sita
Nimetumia number mpya hiyo hiyo ikapigwa ban
Nimeadd member kwenye group nikapigwa ban
Nimetuma text kwa chatgpt nikapigwa ban
Kurud hiv vitu vikawa...
The Vice Assassination is the third assassination mission given to Franklin by Lester and represents an opportunity for enormous investment return in the Stock Market for Fruit and Facade. It is...
Construction sites – contracts out and about today are synonymous with the deafening sound of machines and people buzzing around, the never-ending pressure to finish activities. But the truth of...
Habari wana-tech,
Leo nataka kuwashirikisha mradi wangu mmoja wa open-source unaitwa OllaBridge. Huu mchongo utawasaidia sana ma-developer wenzangu wanaotumia shared hosting (kama Hostinger...
Akili Bandia (Artificial Intelligence – AI) imeanza kubadilisha namna dunia inavyofanya kazi. Kutoka kwenye biashara, benki, kilimo, hadi elimu, mashine na mifumo ya kompyuta yenye uwezo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.