Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hivi karibuni Halotel waliansa kuuza rouer zao za 5g. Naamini humu ndani naamini kuna mtu au watu watakuwa washaitumia. Tunaomba mtupe mrejesho kuhusu ufanisi wake Ahsante
6 Reactions
10 Replies
467 Views
Habari za uzima wana JF, Nina changamoto kidogo kwenye kufix Adsense kwenye YouTube Account Yangu, mwenye ujuzi kuhusu hili, Naomba msaada
3 Reactions
3 Replies
127 Views
Wakuu Habari Nimepitia baadhi ya website za taasisi za serikali na app nyingi za kibank nimeona hazitumii teknolojia ya Ai kwenye upande huo. Hali inayoweza inaonesha kuwa kumekuwa hakuna...
0 Reactions
1 Replies
103 Views
Naomben msaada hapa wakuu, ninatamani kununua router ambayo portable inaweza kaa hata mfukoni kwa matumizi ambayo ni makubwa kiasi, ni mtandao upi kati ya tigo, halotel, airtel na voda wana mifi...
7 Reactions
46 Replies
1K Views
Huu wakati ambao asilimia kubwa ya vitu tunategemea simu aidha kama njia ya mawasiliano, wengine simu ndio ofisi yaani wanatumia kuingizia kipato au wengine kama vifaa vya kujiburudisha kwa...
2 Reactions
12 Replies
480 Views
Napenda ku download movies kwenye Telegram Naomba muongozo kwa anayefahamu tafadhali
2 Reactions
34 Replies
453 Views
Nimempima na kumpa code ndogo tu kama hii function separateLettersAndNumbers(str) { return str.replace(/(\D+)(\d)/g, "$1-$2").replace(/(\d)(?=\D)/g, "$1-"); } nikamuuliza output yake itakuwaje kwa...
3 Reactions
23 Replies
586 Views
Kwa sasa kwenye ulimwengu wa AI gumzo duniani ni Seedance 2.0 Hapa Wachina wa ByteDance ambao ndio wamiliki wa TikTok wamekuja kuweka rekodi ya dunia. Ukibahatika kuziona video za AI...
6 Reactions
38 Replies
819 Views
Wakuu, Nimekuwa nikipata changamoto ya kutambua code ya namba ya simu iliyokupigia au uliyopewa na mtu kwa kuangalia maana zinafanana na kila siku zinakuja mpya. Sasa hii inakua Changamoto kama...
5 Reactions
61 Replies
1K Views
UI ya simu (User Interface) ni muonekano na njia mtu anavyokuwa connected na simu, ikijumuisha unachokiona kwenye screen yako, menus, icons, na animations. Mfano ni One UI ya Samsung, HyperOS ya...
7 Reactions
46 Replies
677 Views
Wakuu salamu. Naombeni msaada namna ya ku verify number kwenye YouTube channel. 🫶
1 Reactions
3 Replies
123 Views
White hat hackers mpo wapi? Cyber security experts let us meet here and exchange different ideas.
13 Reactions
257 Replies
7K Views
Hawa jamaa sijui uwa wanafikiria nini katika muundo wa simu zao . Simu ina camera moja nyuma ila designer anaweka marings matatu ili waonekane kama iPhone macho matatu, na wateja wasiojua...
17 Reactions
35 Replies
1K Views
As of March 25, 2026, Claude AI is experiencing degraded performance across its services, including claude.ai, the API, and console, following recent reports of elevated errors and potential...
0 Reactions
1 Replies
251 Views
Lakini washikaji hawataki kunielewa hapa wananiambia eti nimeacha bunduki nimechukua rungu🥲🥲🥲
22 Reactions
253 Replies
12K Views
Ili kupata uzoefu wa simu za kiwango cha juu (flagship) nchini Tanzania kwa mwaka 2026, Samsung Galaxy S26 Ultra ndiyo chaguo namba moja. Inapatikana madukani kwa makadirio ya TZS 3,500,000 (GB...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakati wa kuzindua iPhone 18 series itatoka na iPhone Fold. Ni iPhone ya kukunja ya kwanza kutoka Apple. Base model ya 256 GB itakua $1,999 wakati ya juu ya 1TB itakua $2,400. Hapo bado ushuru...
9 Reactions
36 Replies
640 Views
Nimeamua kuandika makala hii bbaada ya kuona watu wengi Wanaibiwa , Kupigwa bei kali na kuuziwa simu feki au Bandia. Mpaka wengine wanaogopa kabisa kununua simu used kutoka nje… 1. Hakikisha Iko...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
SIM Swapping Wizi wa Namba ya Simu Bila Kuibiwa Simu Na Jinsi ya Kujilinda Katika dunia ya sasa ya kidigitali, namba yako ya simu imekuwa “kitambulisho” chako mtandaoni. Inatumika kuthibitisha...
7 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom