Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

wakuu tumaini ni wazima afya nilikuwa nauliza hivi kuna watu wanaagiza mizigo kikuu nilikiwa nataka kuagiza external driver naona kule 4 TB wanauza 35k. hivi naomba kujua bidhaa ni Og au
5 Reactions
17 Replies
494 Views
Wakuu, naomba msaada wa ushauri na connection za laptop nzuri yenye specs za kufanya kazi nzito kidogo kama programming, video editing, gaming, 3D rendering na data analysis. Napendelea zaidi...
3 Reactions
17 Replies
463 Views
Habari wakuu, Leo Juni 9, 2026, kampuni ya Anthropic (watengenezaji wa Claude) wamezindua mifano miwili mipya ya akili unde - Claude Fable 5 na Claude Mythos 5. Hii ni habari kubwa kwenye dunia...
6 Reactions
8 Replies
238 Views
Asilimia 95% ya simu za iphone ambazo watanzania wengi wanauziwa kwenye box huwa ni simu used…. Je, Ulikuwa unajua hili ? kama hujui basi habari ndio hiyo. ……naona unabisha pengine wewe mwenyewe...
6 Reactions
17 Replies
413 Views
Habari. Kuna mtu anauliza taratibu za kuanzisha app kwa hapa tanzania hadi iweze kua downloaded playstore/App store. Je, ni taratibu zipi anahitaji kufuata? Je itahitaji kwenda Tra,Tcra,Brela nk...
7 Reactions
39 Replies
539 Views
Kati ya iOS,Windows,Blackbery na Android ipi OS unaikubali zaid?
2 Reactions
89 Replies
13K Views
Airtel mna customer care mbovu kwenye simu. Okay, nikaona nije dukani kwenu, aisee…! Okay tuache ilo. Sasa hizi 5G router zenu za ZLT X25 zina lifespan ya muda gani? Yangu imeanza kimasihara...
12 Reactions
26 Replies
1K Views
Njoo PM tufanye jambo, kila aina ya system natengeneza bei ni kulingana na complexity quality kulingana na bei Karibu
0 Reactions
9 Replies
126 Views
Kama kichwa cha habari kinavojieleza,ni ipi blender nzuri kati ya kenwood au mach one
4 Reactions
21 Replies
396 Views
Habari wakuu, Smart board aina ya SIMI inawaka na kuishia kwenye Logo ya SIMI na Kisha kuzima na kujiwasha Tena, msaada please
0 Reactions
2 Replies
84 Views
Jana kwenye WWDC 2026 Apple wamezindua iOS 27, macOS 27 Golden Gate, iPadOS 27, na watchOS 27. iOS 27 itakua supported na simu zote kuanzia iPhone 11 kuja juu. iPadOS 27 itakubali kwenye iPad...
6 Reactions
6 Replies
158 Views
Kuna aina nyingi za simu , baadhi zinafanya vizuri sokoni na nyingine hazifanyi vizuri na zikiwa na sababu tofauti . Makala hii itaangazia aina za simu zenye matatizo makubwa ambapo sikushauri...
26 Reactions
72 Replies
14K Views
Mwaka 2014 wakati bwana Zuckerbeg anainunua whatsapp kwa dola za kimarekani 19 B watu waliona kama ni uharibifu wa pesa. Haikuwa clear ni kwa namna gani hii app ya kuchat itaweza kuingiza pesa...
6 Reactions
25 Replies
407 Views
Wakuu kwema ninauza gaming laptop yangu ina speci hizi Core i7 gen 9 ram 16 hp pavilion gtx 1650 vram 4gb ssd 256 ssd sata tb 1 core i7 gen 9 battery 1hours windows 11 bei 680k serious...
1 Reactions
0 Replies
122 Views
Natamani kujua game ambazo zina ongoza kupendwa na watumiaji wa simu za mkononi Tz... Una game zipi kwenye simu yako?
7 Reactions
94 Replies
13K Views
Habari wakuu,,hopefully mko poa..Mimi aysee naomba mnisaidie kitu kimoja wataalamu wa Tech..Nimekuwa Nikinunua Earphones lakini baada ya muda kidogo tu zinaanza kupoteza ufanisi wake..Mfano...
3 Reactions
20 Replies
415 Views
SOMO LA LEO ♌️: JINSI YA KUFUNGUA SIMU ULIYOSAHAU PASSWORD KWA KUTUMIA KOMPYUTA 💻📱 Kama umesahau password yako (Pattern, PIN, Fingerprint) usikimbilie Kariakoo unaweza kuweka sawa mwenyewe kwa...
9 Reactions
7 Replies
6K Views
Mimi ni mtumiaji wa Azam tv lakin wakat wa mchana napata ujumbe wa No signal na usiku mambo yanakaa sawa nimejaribu kufanya Auto scanning,manual scanning,factory reset lakin bado tatizo haliishi...
1 Reactions
3 Replies
80 Views
Mimi nimetumia AliExpress muda kidogo umepita, mwaka 2025 nilitumia mara moja tu, tena pale mwanzoni, juzi hapa naingia nahitaji kuagiza kitu nakuta mauza uza. Shipping method ni moja tu, "Free...
6 Reactions
41 Replies
848 Views
Back
Top Bottom