Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nimekuja kuuliza tena hii ishu. Kuna data za muhimu sana zimekufa na hard drive. Je kuna hapa tuna data recovery centre? Centre ya wale wataalamu wenye maabara kabisa. Kama hawa jamaa...
0 Reactions
15 Replies
930 Views
Nimepoteza Data Zangu Je, Kuna Tumaini la Kurejesha? Kupoteza data ni jambo linaloweza kuwa na madhara makubwa, iwe ni picha za familia, nyaraka za biashara, au kazi za miaka mingi. Hali hii...
2 Reactions
1 Replies
449 Views
Habari wana Tech, Nina mpango wa kununua laptop kwa ajili ya matumizi ya ofisini, pamoja na usimamizi wa mifumo ya biashara. Kabla sijafanya manunuzi, naomba ushauri kutoka kwa wadau wenye uzoefu...
3 Reactions
13 Replies
478 Views
#mwanakidigitali najua pengine kuna muda unakuwa unapesa yako lakini unapatwa na kigugumizi sana hasa unapo fikiria simu gani unataka kununua na itakayo kufaa . Leo nitakutajia listi ya simu aina...
8 Reactions
26 Replies
4K Views
Salam. Kuna jamaa ni mmoja kati ya maadmin wa4, sasa amewaondoa uadmin wenzake na kubaki yeye. Anafanya mambo ya hovyo. Kuna njia gani ya kufanya ili Kumpoka U-Admin? Note: Kutengeneza group...
5 Reactions
18 Replies
394 Views
Wakuu habari za majukumu? Natumai mnaendelea vizuri na majukumu ya maisha ya kila siku. Kutokana na changamoto ya janga la Korona hivyo inatupasa kujikita zaidi katika "digital marketing" and...
9 Reactions
121 Replies
11K Views
Sure situmii Samsung na wala sio kampuni namba moja ya simu kwenye moyo wangu, ila ukitoa kampuni ya simu ninayoipenda kuliko zote, basi Samsung ndio inafuatia moyoni mwangu Kuna sababu nyingi...
16 Reactions
41 Replies
5K Views
Computers 'to match human brains by 2030' Steve Connor February 24 2008 at 11:41AM Boston - Computer power will match the intelligence of human beings within the next 20 years...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Here’s something interesting about modern tech: Your phone today likely has more computing power than the computers used during the Apollo 11 Moon Landing. The guidance computer that helped send...
1 Reactions
1 Replies
102 Views
Ninazo kumbukumbu kwenye mikanda ya vhs na ninahitaji kuziweka kwenye mfumo wa computer. Software za kunakili mikanda kutoka kwenye deki zipo kibao lakini nachokosa ni deki ya mikanda Ni wapi...
2 Reactions
8 Replies
265 Views
  • Featured
Wakuu, leo September 9 Apple wamezindua simu zao mpya iPhone 17 series pamoja na bidhaa nyingine kama airpods na Apple watch matoleo mapya. Kwa kuanza na iPhone, jumla ya simu nne zimezinduliwa...
20 Reactions
173 Replies
8K Views
Wakuu habari za mida! Nilinunua simu mkoa wa kigoma nikizani nmenunua samsung galaxy s10 plus... kumbe nmenunua docomo s10 plus sasa kinachonikera ni kuona ikiwaka inaonesha logo ya docomo...
10 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakati wa kuzindua iPhone 18 series itatoka na iPhone Fold. Ni iPhone ya kukunja ya kwanza kutoka Apple. Base model ya 256 GB itakua $1,999 wakati ya juu ya 1TB itakua $2,400. Hapo bado ushuru...
13 Reactions
40 Replies
978 Views
Poleni na kazi jamani, nilikua nachangamoto kwenye umeme wa solar nina solar panel Wat 100, betri N 80 la unga, Inverter 200 W na charge contro changamoto iliyopo hivi vitu vilipo fungwa vilikua...
6 Reactions
16 Replies
578 Views
Wadau nimeibiwa simu juz kati, hivo napata shida kuwasiliana na ndugu jamaa na marafiki Naomba anae jua jinsi ya kupiga simu kwa kutumia computer anielekeze
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Habari wakuu? Kama kichwa cha habari hapo juu. Huwa mara nyingi tunaona tu mitandaoni machimbo ya nguo na viatu hapo kariakoo. Na bei zake rafiki. Kama kuna watu wanafahamu machimbo ya LAPTOP na...
0 Reactions
6 Replies
217 Views
Habari za muda huu wakuu Nataka kununua simu ya Google Pixel na macho yangu yapo kwenye Pixel 7 pro zaidi kuliko 7plane Hata hivyo, nimeona mtaani watu wengi wanatumia na kusifia zaidi Pixel 7...
0 Reactions
7 Replies
177 Views
Good day wakuu, Nahitaji registered member wa hii board ya ICT anisaidie mwongozo, kuna vipengele vinachanganya wakati wa kujaza online. Any guidance will be appreciated.
0 Reactions
0 Replies
86 Views
Habari wakuu, Nina wazo la kuanzisha timu ndogo ya watu wenye hamu ya kujifunza, kushirikiana, na kujenga mradi halisi wa teknolojia ya kilimo (AgTech) ambao unaweza kuwa na mchango katika...
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Back
Top Bottom