kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,132
- 6,100
Wakuu salama?
Miezi 3 nyuma nimebadilisha simu na kununua simu mpya ya Samsung S9+.
Kawaida magrupu yangu yote huwa na yawake katika silent mode 'mute'. Ili kuepusha kusumbuliwa na muito wa meseji za Whatsapp kila wakati.
Ila kwa simu hii imeshindikana.
Zipo kwenye mute lakini bado zinakuja na sound.
Msaada tafadhali kwa anayejua.
Miezi 3 nyuma nimebadilisha simu na kununua simu mpya ya Samsung S9+.
Kawaida magrupu yangu yote huwa na yawake katika silent mode 'mute'. Ili kuepusha kusumbuliwa na muito wa meseji za Whatsapp kila wakati.
Ila kwa simu hii imeshindikana.
Zipo kwenye mute lakini bado zinakuja na sound.
Msaada tafadhali kwa anayejua.