Asante sanaKisimbuzi cha Dish hupokea mawasiliano kwa njia ya Satelite.... popote ukiset vema mambo yanakuwa safi.
Kisimbuzi cha Antena hupokea mawasiliano kwa njia ya territrial na signal zake huwa zinapotea kadiri unavyokuwa mbali na mnara wao.... hivyo yawezekana kuwa sehem na isionyeshe kabisa au ionyeshe kwa taabu
Bado hajapata muongozo hebu muongoze.Mleta mada natumae umepata muongozo...
Endelea KUTUMAEMleta mada natumae umepata muongozo...