Msaada wa Kuirejesha Facebook Page yangu

Msaada wa Kuirejesha Facebook Page yangu

chamng'asi

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
215
Reaction score
399
Ni baada ya akaunti husika kudai Generate Code, kitu ambacho kinanipa wakati mgumu.

Pia napewa option nyingi ili niweze kuingia kwenye akaunti ya Facebook kisha niwe na access ya page yangu.

Kwa ufupi nimeshindwa, naomba msaada kwa mwenye ujuzi wa hii kitu.

Nawasilisha.
 
Kama ulikuwa unawaalika marafiki zako wa like page facebook huwa wanafunga page inakuwa haina mwenyewe facebook hawataki followers wa kualikwa
 
Back
Top Bottom