Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,293
- 2,620
๐จ๐ป๐ฎ๐ท๐๐ฎ ๐๐บ๐๐ต๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ ๐๐บ๐ฎ๐ถ๐น ๐ฟ๐ฒ๐ฐ๐ผ๐๐ฒ๐ฟ๐ !!
Unajua gmail imetengenezwa na Google, pia ni moja wapo ya platforms inayotumiwa na mamilioni ya watu ulimwenguni, kwani watu huweza kuchati , kutuma emails. ujawahi kuona wakati unatengeneza email Huwa unaambiwa ku add recovery email address.
Unajua ๐ฒ๐บ๐ฎ๐ถ๐น ๐ฟ๐ฒ๐ฐ๐ผ๐๐ฒ๐ฟ๐ ๐ฎ๐ ๐ฅ๐ฒ๐ฐ๐ผ๐๐ฒ๐ฟ๐ ๐ฒ๐บ๐ฎ๐ถ๐น ๐ฎ๐ฑ๐ฑ๐ฟ๐ฒ๐๐ Kuna wakati inaitwa alternative email ni njia ya kuongeza email nyingine itakayokusaidia kurudisha akaunti yako kwa kuweza kutumiwa code za security notification ili kuifungua email iliyofungwa.
Chukua mfano una email ambayo ni
Bongotech@gmail.com alafu uka add nyingine ambayo ni me@outlook.com Sasa hii ndo itakua recovery email yako.
๐๐๐ป๐ฎ ๐๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐ ๐ธ๐ฎ๐ฑ๐ต๐ฎ๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ ๐๐ฝ๐ฒ๐น๐ฒ๐ธ๐ฒ๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐ผ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐ฒ๐บ๐ฎ๐ถ๐น ๐๐ฎ๐ผ [emoji116]
โข kusahau password yako uliyofungulia
โข namba uliyofungulia sio yako ivyo umepoteza line umeshindwa kurudisha
โข umeweka two factors authentification
โข umeibiwa simu
โข umedukuliwa email akaunti yako
โข Kuna mtu amebadili password yako
โข kuna mtu anatumia akaunti yako bila wewe kujua na amebadili kila kitu nk.
Sasa kupitia email recovery utaweza kurudisha akaunti Yako kwa urahisi.
Jinsi ya ku add email recovery kwenye Gmail yako ingia kwenye hii tovuti
Kisha >> tafuta person info >> chini ya contact utabonyeza email >> recovery email
Ikitokea mtu amedukua email yako , amebadili password , namba ya simu basi kupitia recovery email address utaweza kurudisha akaunti yako.
Tuachie maoni yako vipi akaunti yako umeweka Email recovery au ndo unajua Leo ??
Unajua gmail imetengenezwa na Google, pia ni moja wapo ya platforms inayotumiwa na mamilioni ya watu ulimwenguni, kwani watu huweza kuchati , kutuma emails. ujawahi kuona wakati unatengeneza email Huwa unaambiwa ku add recovery email address.
Unajua ๐ฒ๐บ๐ฎ๐ถ๐น ๐ฟ๐ฒ๐ฐ๐ผ๐๐ฒ๐ฟ๐ ๐ฎ๐ ๐ฅ๐ฒ๐ฐ๐ผ๐๐ฒ๐ฟ๐ ๐ฒ๐บ๐ฎ๐ถ๐น ๐ฎ๐ฑ๐ฑ๐ฟ๐ฒ๐๐ Kuna wakati inaitwa alternative email ni njia ya kuongeza email nyingine itakayokusaidia kurudisha akaunti yako kwa kuweza kutumiwa code za security notification ili kuifungua email iliyofungwa.
Chukua mfano una email ambayo ni
Bongotech@gmail.com alafu uka add nyingine ambayo ni me@outlook.com Sasa hii ndo itakua recovery email yako.
๐๐๐ป๐ฎ ๐๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐ ๐ธ๐ฎ๐ฑ๐ต๐ฎ๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ ๐๐ฝ๐ฒ๐น๐ฒ๐ธ๐ฒ๐ฎ ๐ธ๐๐ฝ๐ผ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐ฒ๐บ๐ฎ๐ถ๐น ๐๐ฎ๐ผ [emoji116]
โข kusahau password yako uliyofungulia
โข namba uliyofungulia sio yako ivyo umepoteza line umeshindwa kurudisha
โข umeweka two factors authentification
โข umeibiwa simu
โข umedukuliwa email akaunti yako
โข Kuna mtu amebadili password yako
โข kuna mtu anatumia akaunti yako bila wewe kujua na amebadili kila kitu nk.
Sasa kupitia email recovery utaweza kurudisha akaunti Yako kwa urahisi.
Jinsi ya ku add email recovery kwenye Gmail yako ingia kwenye hii tovuti
Kisha >> tafuta person info >> chini ya contact utabonyeza email >> recovery email
Ikitokea mtu amedukua email yako , amebadili password , namba ya simu basi kupitia recovery email address utaweza kurudisha akaunti yako.
Tuachie maoni yako vipi akaunti yako umeweka Email recovery au ndo unajua Leo ??