Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu salama? Nilinunua Redmi 10 mapema mwaka huu, baada ya miezi michache ikaanza kupata moto sana na kumaliza battery haraka nikapeleka kwa agent aliyeniuzia wakapeleka service center mwisho...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Pc yangu inakaa sana wakati wa kuiwasha baadhi ya time shida nini?
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimechoshwa na hizi sabufa za kichina maana baada ya muda zinaanza kukoroma tu. Hapa nina sea piano 8800 nimeitumia miezi minne tu linakoroma hatari. Nataka kuweka hizi spika za Ailipu ili niwe...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Wakuu nahitaji mrejesho kwa wanaowafahamu , hawa wana fiber mjini na nje ya mji au mikoani ni wireless but wanajinasibu wana unlimited yeny bandwith kama posta yao inavyoonyesha au tofauti na hawa...
1 Reactions
38 Replies
6K Views
Mtandao wa Financial Times umeripoti kuwa kampuni ya Meta Inc inajiandaa kutangaza iwapo itamruhusu Rais huyo wa zamani wa Marekani kurejea #Facebook na #Instagram. #META imeunda timu ya...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Hivi kuna application au namna yeyote ya kuona maneno ambayo yamekuwa bolded na rang flan yasionekane kama kuna mtu anafaham msaada tafadhali.
0 Reactions
5 Replies
697 Views
Kwanini Simu za google pixel hazioneshi icon ya sauti/vibration/silent pale kwenye notification bar(pazia) au inahitaji setting?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi, kuna mtu anazifahamu simu za Bontel A8, Ufanisi wake ukoje? Naamini nitapa taarifa zake kutoka kwenu.
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari za wakati huu, Tujo katika karne ya 21 tukiwa tunaelekea kumaliza robo ya kwanza ya karne hii.Wakati karne hii inaanza kwa waliokuwepo tunakumbuka kamsemo maarufu kaliitwa Y2K najua kuna...
4 Reactions
10 Replies
6K Views
Baada ya kujikita kwa muda mrefu kwenye budget smartphones, kampuni ya Motorola inayomilikiwa na Lenovo Group imezindua rasmi smartphone flagship yao inayoitwa Motorola Edge 30 Ultra. Smartphone...
11 Reactions
22 Replies
3K Views
Wapi naweza ipata kwa hapa Dar? Inaitwa hand concrete au paint mixer.
0 Reactions
10 Replies
937 Views
Kila mwaka WhatsApp inajifuta simu za zamani ambazo haziwezi kuwa na uwezo wa kufanya kazi na kupata app ya WhatsApp. Hii ni kwa sababu kila muda WhatsApp inaweka mabadiliko mapya na baadhi ya...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Hello bosses..... Musk alikosea sana kufukuza fukuza watu hovyo, mm shabiki yake lkn kwa hilo alikosea, makampuni mengi yamefanya layoff ila yanaenda polepole sio kwa speed ya kufukuza watu wengi...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Habarini! Napenda kujifunza Visual Basic Programming hasa kwenye Excel VB. Naombeni kama kuna mtu anaijua vizuri anisaidie hata kwa kuchangia kidogo. Akanifundisha through zoom au WhatsApp. Nipo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Msaada hii kitu nimetokea kuikubali saana so kwa hapa Tz hizi zinapatikana au mbele mbele saana[emoji55]
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nataka nitengeneze blog kupitia Wordpress but sina ujuzi wowote. Naomba unisaidie kama unaweza.
0 Reactions
6 Replies
832 Views
Habari zenu, Jamani mimi ningependa kuuliza tu. Hivi wanaposema account zimedukuliwa na data za watumiaji zimeuzwa. Wanamaanisha nini? Data gani? Wanauza wapi? Wanaowauzia wanazitumia vipi...
4 Reactions
5 Replies
874 Views
Wakuu, Naomba kwa mwenye uelewa wa jinsi ya kuskip ule ujumbe wa "device verification" kwenye game la euro truck simulator 2 kwenye simu
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hàbar ndg zangu Kama kichwa Cha hàbar kinavyo jieleza kijana mwezenu nipo mbele yenu nishida kidogo naitaji msaada kuhusu blog pamoja na mshirika wake Google AdSense kiupi kabla sijaanza jieleza...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
INTERNET. Starlink is now delivering initial beta service both domestically and internationally, and will continue expansion to near global coverage of the populated world in 2021. During beta...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom