Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,088
- 8,769
Wakuu salama?
Nilinunua Redmi 10 mapema mwaka huu, baada ya miezi michache ikaanza kupata moto sana na kumaliza battery haraka nikapeleka kwa agent aliyeniuzia wakapeleka service center mwisho tatizo halikuisha, wakanipa device nyingine hiyo hiyo brand ya Redmi, but note 10s. Miezi miwili sasa imeanza tena kupata moto sana haswa nikiwasha data halafu nikawa natumia camera.
Itapata moto mpaka inaleta notification kuwa "your device is overheating" Na wakati huo ina disable baadhi ya vitu.
Naombeni msaada wakuu, ni mimi nakosea matumizi au ni simu zina hili tatizo?
CHIEF MKWAWA
Nilinunua Redmi 10 mapema mwaka huu, baada ya miezi michache ikaanza kupata moto sana na kumaliza battery haraka nikapeleka kwa agent aliyeniuzia wakapeleka service center mwisho tatizo halikuisha, wakanipa device nyingine hiyo hiyo brand ya Redmi, but note 10s. Miezi miwili sasa imeanza tena kupata moto sana haswa nikiwasha data halafu nikawa natumia camera.
Itapata moto mpaka inaleta notification kuwa "your device is overheating" Na wakati huo ina disable baadhi ya vitu.
Naombeni msaada wakuu, ni mimi nakosea matumizi au ni simu zina hili tatizo?
CHIEF MKWAWA