Simu aina ya Bontel A8 zipoje?

Simu aina ya Bontel A8 zipoje?

Mzee wa old school

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
979
Reaction score
1,501
Habarini wana jamvi, kuna mtu anazifahamu simu za Bontel A8, Ufanisi wake ukoje?

Naamini nitapa taarifa zake kutoka kwenu.
 
Habarini wana jamvi, kuna mtu anazifahamu simu za Bontel A8, Ufanisi wake ukoje?

Naamini nitapa taarifa zake kutoka kwenu.
Hilo kampuni sijawahi kuliamini kwani ni kampuni bora au kampuni ucharwa?

Kuna siku nilitamani kununua bontel na bei zao zipo chini kabisa ila sasa kilichonishangaza wana masimu mengine yamekaa kama radio call.
 

Attachments

  • IMG-20221228-WA0032.jpg
    IMG-20221228-WA0032.jpg
    22.7 KB · Views: 26
  • IMG-20221228-WA0032.jpg
    IMG-20221228-WA0032.jpg
    22.7 KB · Views: 18
Back
Top Bottom