Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 979
- 1,501
Habarini wana jamvi, kuna mtu anazifahamu simu za Bontel A8, Ufanisi wake ukoje?
Naamini nitapa taarifa zake kutoka kwenu.
Naamini nitapa taarifa zake kutoka kwenu.
Hilo kampuni sijawahi kuliamini kwani ni kampuni bora au kampuni ucharwa?Habarini wana jamvi, kuna mtu anazifahamu simu za Bontel A8, Ufanisi wake ukoje?
Naamini nitapa taarifa zake kutoka kwenu.
Ni mtu pori sometimeHizi si ndo zile powerbank zenye simu na tochi kubwa? Wanazingua hawa battery zenyewe mbovu kwa simu yenye 10000mah.
Unataka kwa matumizi gani exactly?
UsichekeAisee nimecheka sana.
Kwanini usitumie combination ya kitochi na powerbank? Ama hutaki kubeba vitu viwili kwa wakati mmoja?Ni mtu pori sometime
Hilo kampuni sijawahi kuliamini kwani ni kampuni bora au kampuni ucharwa?
Kuna siku nilitamani kununua bontel na bei zao zipo chini kabisa ila sasa kilichonishangaza wana masimu mengine yamekaa kama radio call.





Mizigo inakuwa mingi tatizoKwanini usitumie combination ya kitochi na powerbank? Ama hutaki kubeba vitu viwili kwa wakati mmoja?
Nitafuata ushauri wako....Mleta mada kama mi mtu pori tafuta SQ 1000 au XTIGI S23 HUTAJUTA Hiyo no 1 chaji miezi 7
Hiyo no 2 chaji miezi3 zikiwa Mpya ni simu bora sana net work haipondipindi
Sawa hayo hayooooZile mfano wa radio call na Yale makubwa ni kwa ajili ya porini,
Ukichaji umechaji.
Picha picha picha