Motorola wamerudi kwa nguvu: Wazindua flagship ya kwanza yenye 200 MP camera

mdhalendo

JF-Expert Member
Dec 14, 2011
282
273
Baada ya kujikita kwa muda mrefu kwenye budget smartphones, kampuni ya Motorola inayomilikiwa na Lenovo Group imezindua rasmi smartphone flagship yao inayoitwa Motorola Edge 30 Ultra.

Smartphone hiyo ina Chip ya Snapdragon 8 Gen 1 ikiwa ndo chip ya kibabe zaidi kwasasa. Simu hiyo pia itakuwa ndiyo ya kwanza duniani kuwa na kamera yenye ukubwa wa 200 MP.

Bei: Euro 899

Hizi ni specs zake kwa uchache:

Body: 161.8x73.5x8.4mm, 199g; Glass front (Gorilla Glass 5), glass back (Gorilla Glass 5), aluminum frame.

Display: 6.67" OLED, 1B colors, 144Hz, HDR10+, 1250 nits (peak), 1080x2400px resolution, 20:9 aspect ratio, 395ppi.

Chipset: Qualcomm SM8475 Snapdragon 8+ Gen 1 (4 nm): Octa-core (1x3.19 GHz Cortex-X2 & 3x2.75 GHz Cortex-A710 & 4x1.80 GHz Cortex-A510); Adreno 730.

Memory: 128GB 8GB RAM, 256GB 8GB RAM, 256GB 12GB RAM, 512GB 12GB RAM; UFS 3.1.

OS/Software: Android 12.

Rear camera: Wide (main): 200 MP, f/1.9, 1/1.22", 0.64µm, PDAF, OIS; Telephoto: 12 MP, f/1.6, 1.22µm, PDAF, 2x optical zoom; Ultra wide angle: 50 MP, f/2.2, 114˚, 1/2.76", 0.64µm.

Front camera: 60 MP, f/2.2, (wide), 1/2.8", 0.61µm.

Video capture: Rear camera: 8K@30fps, 4K@30/60fps, 1080p@30/60/120/320/960fps, gyro-EIS, HDR10+; Front camera: 4K@30fps, 1080p@30fps.

Battery: 4610mAh; Fast charging 125W, Fast wireless charging 50W, Reverse wireless charging 10W.

Misc: Fingerprint reader (under display, optical); NFC; stereo speakers.


5814393860_1SZ.jpg
 
Baada ya kujikita kwa muda mrefu kwenye budget smartphones, kampuni ya Motorola inayomilikiwa na Lenovo Group imezindua rasmi smartphone flagship yao inayoitwa Motorola Edge 30 Ultra.

Smartphone hiyo ina Chip ya Snapdragon 8 Gen 1 ikiwa ndo chip ya kibabe zaidi kwasasa. Simu hiyo pia itakuwa ndiyo ya kwanza duniani kuwa na kamera yenye ukubwa wa 200 MP.

Bei: Euro 899

Hizi ni specs zake kwa uchache:

Body: 161.8x73.5x8.4mm, 199g; Glass front (Gorilla Glass 5), glass back (Gorilla Glass 5), aluminum frame.

Display: 6.67" OLED, 1B colors, 144Hz, HDR10+, 1250 nits (peak), 1080x2400px resolution, 20:9 aspect ratio, 395ppi.

Chipset: Qualcomm SM8475 Snapdragon 8+ Gen 1 (4 nm): Octa-core (1x3.19 GHz Cortex-X2 & 3x2.75 GHz Cortex-A710 & 4x1.80 GHz Cortex-A510); Adreno 730.

Memory: 128GB 8GB RAM, 256GB 8GB RAM, 256GB 12GB RAM, 512GB 12GB RAM; UFS 3.1.

OS/Software: Android 12.

Rear camera: Wide (main): 200 MP, f/1.9, 1/1.22", 0.64µm, PDAF, OIS; Telephoto: 12 MP, f/1.6, 1.22µm, PDAF, 2x optical zoom; Ultra wide angle: 50 MP, f/2.2, 114˚, 1/2.76", 0.64µm.

Front camera: 60 MP, f/2.2, (wide), 1/2.8", 0.61µm.

Video capture: Rear camera: 8K@30fps, 4K@30/60fps, 1080p@30/60/120/320/960fps, gyro-EIS, HDR10+; Front camera: 4K@30fps, 1080p@30fps.

Battery: 4610mAh; Fast charging 125W, Fast wireless charging 50W, Reverse wireless charging 10W.

Misc: Fingerprint reader (under display, optical); NFC; stereo speakers.


View attachment 2358574
How much?
 
Baada ya kujikita kwa muda mrefu kwenye budget smartphones, kampuni ya Motorola inayomilikiwa na Lenovo Group imezindua rasmi smartphone flagship yao inayoitwa Motorola Edge 30 Ultra.

Smartphone hiyo ina Chip ya Snapdragon 8 Gen 1 ikiwa ndo chip ya kibabe zaidi kwasasa. Simu hiyo pia itakuwa ndiyo ya kwanza duniani kuwa na kamera yenye ukubwa wa 200 MP.

Bei: Euro 899

Hizi ni specs zake kwa uchache:

Body: 161.8x73.5x8.4mm, 199g; Glass front (Gorilla Glass 5), glass back (Gorilla Glass 5), aluminum frame.

Display: 6.67" OLED, 1B colors, 144Hz, HDR10+, 1250 nits (peak), 1080x2400px resolution, 20:9 aspect ratio, 395ppi.

Chipset: Qualcomm SM8475 Snapdragon 8+ Gen 1 (4 nm): Octa-core (1x3.19 GHz Cortex-X2 & 3x2.75 GHz Cortex-A710 & 4x1.80 GHz Cortex-A510); Adreno 730.

Memory: 128GB 8GB RAM, 256GB 8GB RAM, 256GB 12GB RAM, 512GB 12GB RAM; UFS 3.1.

OS/Software: Android 12.

Rear camera: Wide (main): 200 MP, f/1.9, 1/1.22", 0.64µm, PDAF, OIS; Telephoto: 12 MP, f/1.6, 1.22µm, PDAF, 2x optical zoom; Ultra wide angle: 50 MP, f/2.2, 114˚, 1/2.76", 0.64µm.

Front camera: 60 MP, f/2.2, (wide), 1/2.8", 0.61µm.

Video capture: Rear camera: 8K@30fps, 4K@30/60fps, 1080p@30/60/120/320/960fps, gyro-EIS, HDR10+; Front camera: 4K@30fps, 1080p@30fps.

Battery: 4610mAh; Fast charging 125W, Fast wireless charging 50W, Reverse wireless charging 10W.

Misc: Fingerprint reader (under display, optical); NFC; stereo speakers.


View attachment 2358574
Dah nakumbuka Motorola enz hizo ina ile keyboard ya ku slide 🙌🏽
 
So sie wenye iPhone max VIP pro Ina Mana hatuna value mbele ya wa Motorola lazima na hii tuimiliki ili tuzidi kuwa na value kubwa. Mana nakuwa nàbadilisha simu bana leo ninayo iyo kesho natoka iPhone yangu ma eye matatu Zen Samsung Ile ya Bei Kali mno naenda nayo viwanja pia hata kazini wafanyakazi wenzangu wanapata attention namie Mana Sina kitu Cha kuwapa attention namie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom