Wakuu habari zenu. Bila shaka Mna furaha kwasababu Manchester united jana imeshinda.
Nilikuwa naombi ambaye anaweza kunisaidia kufix ili Tatizo.
Pc yangu Aina ya Dell latitude 4300 nikiplay...
Toleo jipya la WhatsApp (toleo la 2.23.1.23) katika mfumo wa majaribio (Beta); inaonekana app ya WhatsApp
itaongeza emoji mpya kwa watumiaji wa Android.
WhatsApp imeanza kuongeza emoji 21 katika...
Habarini wadau!
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, ni kuwa nikazichanga kidogo nikatafuta mziki wangu uwe unanifariji kidogo ni Sony nz950 watt 1000.
Ajabu ni kuwa siku naunganisha mziki...
Tafadhali kwa mwenye pc yaina tajwa hapo chini anicheck.
Core i3
RAM 4G
Hard drive: 1t
Inaweza DELL,HP au Lenovo. nikipata price ya hizo aina zote itakuwa sawa.
Jamani Mimi ni mwalimu by professional na nilipata kazi Ila nimeamua kuiacha maana sipo interested na ualimu kabisa , Ila nahitaji kujifunza Programming kwa manufaa yangu binafsi na kizazi changu...
Siku njema wana jf
Nataka nihamie kwenye nyumba isiyo naumeme na kwasasa hali yangu kifedha si njema sana, Nahitaji mfumo wa solar utakaoniwezesha kuwasha taa 4, kuchaji simu na kuangalia tv...
Habari wakuu 🖐️,
Kama ilivyo kwenye title hapo juu, naomba kwa mwenye kufahamu namna ya kuboost tangazo Facebook anipe maelekezo jinsi ya kufanya.
Nawasilisha.
Habari wana jamii forums poleni na majukumu, Mimi ni member Mpya na ni post yangu ya kwanza. Natamani kujifunza kitu kuhusu hili swala kwa wanaofahamu.
Kwa Sasa gharama za bundle ziko juu sana...
Hello experts,
I am living in a place where there is a wifi from a certain company but it has a password and the company can't give me the password.
I need help on how can i get the password of...
Guys nimekuwa nikihangaika sana kupata baadhinya apps ambazo ni premium zinazohitaji kulipiwa kabla na hata baada ya kuwa nazo kwenye simu.
Sina uwezo wa kuafford kulipia ili kupata baadhi ya...
Wakuu kheri ya mwaka mpya, Nakiri kua sisi tulio humu tunatofautiana maarifa pamoja na jicho la kuiona fursa.
Mimi hapa Naomba mwongozo, Nina account "page"Facebook inayo jihusisha na maudhuhi ya...
Habari za siku kuu wa tanzania wenzangu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,kama tunavyoelewa kadhia ya joto majumbani kwetu ina fika kipindi ina kuwa taabu.
Sasa wadau nawaza kipi bora...
Kama kichwa Cha habari kinavosema, naitamani sana kuroot simu yangu ya samsungu na nimesoma makala nyingi sana kuhusu faida na hasara za kuroot simu na nimejiridhisha kiasi Cha kutosha na sababu...
Samahani wakuu naomba msaada wa kujua Kuangalia ni kwa jinsi gani profile yangu Ina asilimia ngapi ya ukamalifu kwenye mtandao wa upwork, kwa kutumia application yao ya simu.
Nina channel yangu ya Youtube ina Subscribers 8k
Watchtime 2000
Inaitwa: Story Za Raja
Aisee kama una 100k nakuachia channel maana nimepigika sijawahi ona.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.