Msaada wa kiufundi kuhusu blog na adsense

mandingo 94

JF-Expert Member
Apr 9, 2018
270
190
Hàbar ndg zangu Kama kichwa Cha hàbar kinavyo jieleza kijana mwezenu nipo mbele yenu nishida kidogo naitaji msaada kuhusu blog pamoja na mshirika wake Google AdSense kiupi kabla sijaanza jieleza shida yangu naomba niwaondoe Shaka maana wengi wataoji jina hili nalotumia kwani wengi wanauliza jinsi na sio mada usiku mim nilikuwa na account humu jf miaka mingi Sana Sasa na shangaa inanigomea kufunguka kwaiyo nikaona nitumie email ya mama kipenzi kwaiyo kijana mwenzenu umri wa miaka 27 natumaini kwa ufupi mumenielewa sas tuje kwenye shida yangu.

Miaka 6 iliyopita nifungua blog na sikuwa mtaalamu Sana wa Mambo haya nilifanikisha kwa kuangalia video za YouTube Kisha nikaomba maombi AdSense siku fanikiwa kwakuwa sikuwa na ujuzi wowote ule Ila Leo hii naandika hii post nimeweza kutumiwa ujumbe na Google AdSense ilabado sijui kwa kuazia ili matangazo ya weze kuonekana kwenye ka blagger kangu hako pia nimejaribu kuweka maana mim c mjuzi Sana wa Mambo haya naomba wajuzi wa kazi munisaidia Kama kunasehemu nitakuwa nimekosea niwez kusawazisha.


Screenshot_20220313-133741.jpg
Screenshot_20220313-133819.jpg
Screenshot_20220313-133908.jpg
Screenshot_20220313-134320.jpg
Screenshot_20220313-134458.jpg
Screenshot_20220313-134548.jpg
Screenshot_20220313-134725.jpg
Screenshot_20220313-134928.jpg
Screenshot_20220313-135057.jpg
Screenshot_20220313-171045.jpg
Screenshot_20220313-141715.jpg
Screenshot_20220313-175106.jpg
 
Unataka tukusaidiekuunganisha AdSense kwa blog? Nitumie blog yako dm ili kujua naanzia wapi kukusaidia
 
Kuhusu jinsia hujaeleza vizuri kama ni Me/Ke.

Ok ukirejea kwenye topic hapo juu, Mwanzo walionekana kama Google Adsence kukataa kutangaza kupitia blogu yako kwa kipindi hicho (huenda hukuwa na vigezo).
Lakini baada nimeona kama walikukubalia. Je, ulianza kurun matangazo? Naomba kufahamu kwanza hilo.
Harafu blogu yako unatumia lugha gani?
 
Jina Lina washangaza wengi Ila mm ni mwanaume lijari.

Mwaka 2016 Hadi 2018 nilikuwa natumiq lugha ya kiswahili na badae wadau wakaniambia lugha yetu Haina mchongo AdSense nikabadi na nikaweka kimombo post 2 badae Mambo yakawa mengi ckuta nafasi Tena ya Mambo ya blog sas siku nliyoweka post ndiyo wamenitumia email ambazo nimescreenshort hapo juu namim sielewe chochhote jinsi ya kuonganisha Kati ya blog na AdSense
Kuhusu jinsia hujaeleza vizuri kama ni Me/Ke.

Ok ukirejea kwenye topic hapo juu, Mwanzo walionekana kama Google Adsence kukataa kutangaza kupitia blogu yako kwa kipindi hicho (huenda hukuwa na vigezo).
Lakini baada nimeona kama walikukubalia. Je, ulianza kurun matangazo? Naomba kufahamu kwanza hilo.
Harafu blogu yako unatumia lugha gani?
 
Jina Lina washangaza wengi Ila mm ni mwanaume lijari.

Mwaka 2016 Hadi 2018 nilikuwa natumiq lugha ya kiswahili na badae wadau wakaniambia lugha yetu Haina mchongo AdSense nikabadi na nikaweka kimombo post 2 badae Mambo yakawa mengi ckuta nafasi Tena ya Mambo ya blog sas siku nliyoweka post ndiyo wamenitumia email ambazo nimescreenshort hapo juu namim sielewe chochhote jinsi ya kuonganisha Kati ya blog na AdSense
Ushauri kwanza kama account hiyo ni yako basi dalili Jina walau libaki hilo la mwisho.

Ukitaka kubadili Jina hapa JF pitia uzi huu https://www.jamiiforums.com/threads/jf-jihudumie-jisaidie-mwenyewe.1881708/

Back to the topic
Kwa uelewa wangu hapo nimeona Google Adsence hawajaruhusu kuonyesha matangazo kwenye blog yako.
Hivyo kuna option nyingi mfano unaweza ondoa post zilizokuwa na lugha ya kiswahili na uweke post za kingereza walau 20 harafu omba tena.

Au unaweza create blog nyingine kwa ajili ya kurun matangazo na utakayo fungua tumia kingereza tu chapisha machapisho mengi kadiri uwezavyo subira kwa miezi hata 3 hadi 6 ndio uombe tena.

NB: epuka machapisho ya kunakili na kupachika kutoka tovuti nyingine (Copy and paste from other sites).
 
Kama nitafuta post za kiswahili nikaandika posti kingereza so freshi lakini
 
Kama nitafuta post za kiswahili nikaandika posti kingereza so freshi lakini
Hapo itakuwa vizuri lakini kama inawezekana tengeneza blog nyingine kwa ajili ya kingereza ili blogu ya awali uitumie kukuletea watembeleaji kwenye blogu mpya.
 
Hapo itakuwa vizuri lakini kama inawezekana tengeneza blog nyingine kwa ajili ya kingereza ili blogu ya awali uitumie kukuletea watembeleaji kwenye blogu mpya.
Mkuu...nakuomba DM tafadhali
 
Hàbar ndg zangu Kama kichwa Cha hàbar kinavyo jieleza kijana mwezenu nipo mbele yenu nishida kidogo naitaji msaada kuhusu blog pamoja na mshirika wake Google AdSense kiupi kabla sijaanza jieleza shida yangu naomba niwaondoe Shaka maana wengi wataoji jina hili nalotumia kwani wengi wanauliza jinsi na sio mada usiku mim nilikuwa na account humu jf miaka mingi Sana Sasa na shangaa inanigomea kufunguka kwaiyo nikaona nitumie email ya mama kipenzi kwaiyo kijana mwenzenu umri wa miaka 27 natumaini kwa ufupi mumenielewa sas tuje kwenye shida yangu.

Miaka 6 iliyopita nifungua blog na sikuwa mtaalamu Sana wa Mambo haya nilifanikisha kwa kuangalia video za YouTube Kisha nikaomba maombi AdSense siku fanikiwa kwakuwa sikuwa na ujuzi wowote ule Ila Leo hii naandika hii post nimeweza kutumiwa ujumbe na Google AdSense ilabado sijui kwa kuazia ili matangazo ya weze kuonekana kwenye ka blagger kangu hako pia nimejaribu kuweka maana mim c mjuzi Sana wa Mambo haya naomba wajuzi wa kazi munisaidia Kama kunasehemu nitakuwa nimekosea niwez kusawazisha.


View attachment 2149398View attachment 2149399View attachment 2149400View attachment 2149401View attachment 2149402View attachment 2149403View attachment 2149404View attachment 2149406View attachment 2149407View attachment 2149408View attachment 2149410View attachment 2149411
Karibu blogger mwenzangu kwenye ulimwengu wa blogging
 
Back
Top Bottom