I was weighing if this thread is supposed to be in this forums or education forums, but whichever the case MODS know best.
I am actually falling in love with documentaries, rather than bull shyt...
Rwanda's mobile broadband is Africa's first
Michael Malakata
28.12.2009 kl 20:06 | IDG News Service
A A A
Little known by the outside world until genocide tore the country apart 15 years...
Google will launch its own branded Android smartphone, named the Nexus One, in early 2010 without a mobile carrier partner, according to reports.
First announced in a blog post this weekend on the...
imietokea bahati mbaya kwenye laptop moja nimeifuta program ya MULTIMEDIA-AUDIO CONTROL,naomba msaada wenu wakuu
laptop yenyewe ni ya zamani sana-LATITUDE/D610 DELL
MSAADA WAKUU WANGU
Kwahiyo umekuwa unahangaika kupata Linki za tovuti mbalimbali za kitanzania si ndio ? kama ni ndio jaribu kutembelea tzlinks.com ni moja ya tovuti yenye Linki nyingi kuliko zote mpaka sasa ambazo...
Ndugu zangu nimetembelea tovuti ya utumishi wa umma ambapo kuna sehemu ya wale watanzania walio nje ya nchi kujaza taarifa zao ambazo zitahifadhiwa katika database maalumu tazama hapa...
Habari JF!
Mwaka jana hivi nili-create user name yenye password (via user account) ambapo kila nilipokuwa nikiwasha laptop niliingia kwa kutumia password..
Tatizo ni kwamba nimesahau hiyo...
Hapa TZ. Internate cafe nyingi haziruhusu kutumia. Laptops kwenye cafes zao na kama wanarusu basi bei ya muda wa kutumia huwa mara mbili zaidi kulinganisha kama ungetumia PC za cafe sijui tatizo...
Naomba msaada kama kuna mtu hapa Dar anayefahamu cafe yenye uwezo wa kushusha file haraka na kwa speed hapa Dar,cafe nyingi hapa Dar hawaruhusu kushusha faili ,zamani nilikuwa naweza shusha faili...
Mwaka 2010 ndio uko mwanzoni kabisa pamoja na ni vizuri tuangalia matisho ya uhalifu unaoweza kufanyika kwa njia ya mtandao kwa mwaka huu ili wengi wetu waweze kuwa makini zaidi .
Si unajua...
Salamu sana wana jamii wote.
Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza Rais wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa hatua ya kizalendo aliyoichukua kuunda Kamati ya kupitia mikataba ya madini...
Kwahiyo umekuwa unahangaika kupata Linki za tovuti mbalimbali za kitanzania si ndio ? kama ni ndio jaribu kutembelea www.tzlinks.com ni moja ya tovuti yenye Linki nyingi kuliko zote mpaka sasa...
Ten Stupid Things You Can Do To Mess Up Your Computer
Okay, I'm using a little reverse psychology on you... If want to keep your computer running smoothly and avoid becoming a target for cyber...
Windows Password Reset
Category: Security
"I changed my Windows login password yesterday, and now I can't remember it! Is there any way to reset the windows password, so I can regain access to...
Mimekuwa najiuliza kwa nini wanafunzi wengi wa kitanzania ni wachovu ktk masomo ya software engineering? Je ni waalimu hakuna? au inakuwaje?
Hali hii inajitokeza hasa wanapokwenda nje kufanya...
Ndugu Zanguni,
Heri ya mwaka mpya 2010.
Kwa kifupi ndugu yenu siko vizuri sana ktk hili. Ningeomba kujuzwa hivi nitumie ujanja gani ? Nina mafaili yangu makubwa ya documentary, format ya .MKV...
Kuna wakati tuliwahi kutembelea na rundo la CDs bila kusahau Floppy Discs ambazo ndani yake kuna programu mbalimbali za kutumia Kwenye komputa au ni programu zinazotumika kusaidia katika kuifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.