Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu JF Nawauiiza Swali ipi ni bora kati ya hizi Tatu WINDOWS XP WINDOWS VISTA na WINDOWS 7? Na kwanini imekuwa Bora zaidi ya nyingine? Towa ufafanuzi tafadhali.
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wadau naombeni msaada wenu zaidi....Nadhani nimejaribu kucheck zaidi lakini nimeshindwa kufumbua problem ya hii laptop yangu ni nini...Kwanza kabisa nina problem ya internet ya kuaccess...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MUONGO MMOJA WA MTANDAO Jinsi Rais wa marekani alivyotumia mtandao wa kimataifa kwa ajili ya kufanya kampeni zake za kuwania uraisi nchini marekani imebadilisha kwa kiasi kikubwa jinsi watu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu zanu Karibuni katika blogu ya Programu za Kompyuta na Maelezo yake kwa ufupi tembelea www.askmaro.blogspot.com
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Jamani mimi natumia Zantel kwenye huduma ya internate,cha ajabu kwenye package zao ziwe za saa 24,siku 7 au siku 30 wanatangaza kuwa ni Unlimited ilihali ni UONGO,ukishusha vitu vingi inaisha...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wakuu!! Naomba kuuliza kama kuna mtu aliyewahi kufanikiwa kutumia Blackberry Mobile phone kama Modem.Nimekuwa nikitumia Nokia E71 Kama Modem mara zote nilizokuwa narudi home TZ likizo na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
http://www.wired.com/wiredscience/2009/12/super-earth/ Most Earth-Like Extrasolar Planet Found Right Next Door An artists rendition of the extrasolar planet GJ 1214b Meet GJ...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamii, Jamani natafuta mtu ambaye ni mtaalam wa kutengenza websites ikiwa ni pamoja na kuhakikisha inafanyiwa domain registration, inaweza kupatikana kwenye google search na pia nitaweza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hapa kwetu TZ siku hizi kuna watu wengi wanaitwa Dr. somebody au Prof. somebody. Lakini ukienda kwenye strong journals duniani huwakuti kabisa majina yao katika articles. Hivi huwa wanapata hizo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Hello wana JF Nina Cisco Catalyst 500 series switches kwenye LAN yangu. Kwa vile sina Internet connectivity, nimevuta cable moja kutoka kwenye switch na kujiunga na network nyingine yenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF? Kuna program moja inaitwa Latex kwa ajili ya kuandikia report kama vile dissertation/Project na article na vitabu vile vile... Hii ni program unaandika ktk txt form...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
JESHI la Polisi limeunda timu ya kuchunguza matukio ya uhalifu kwa njia ya mitandao, simu za mikononi, ATM za mabenki na huduma nyingine za mitandao cha Ant cyber crime Unity ili waweze kubaini...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu zangu leo nimeona niongelea juu ya huduma ya BIS kwa kutumia blackberry kati ya kampuni ya Zain na Vodacom,ingawa hii mada imewahi jadili hapo kitambo,kuwa ni kampuni ipi ambayo inatoa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NIMEUNGANISHWA NA DUNIA Sikuwahi kuota hata sikumoja kama kuna siku nitakuja kuungishwa na dunia kama ilivyo sasa hivi , lile neno la dunia kuwa kijiji kimoja sasa limeanza kutimia kwa kiasi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sijui ni kujiamini sana kwa kuwa na wateja wengi, sijui ni dharau, mtanisaidia, Angalia, wanafungua saa 4 asb hasa mbagala, wakati wenzao saa moja, vibanda viko vichache, barabara...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Ni kweli kwamba kila mtumaji wa computer popote alipo nyumbani , kazini na sehemu zingine mbalimbali anategemea sana antivirus kwa ajili ya ulinzi wa computer yake haswa upande wa programu na aina...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nimejaribu kufuatilia suala la credit cards za Exim na kupewa utaratibu wao kwa muhtasari. Ingawa wamejitahidi sana kutoa hiyo huduma, bado nadhani kuna vitu ambavyo wanatakiwa kutuelimisha. Kwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndugu wana JF, Naomba kuelimishwa! Tanzania, wataalamu wengi waliosomea maswala ya engineering wanapenda kujitambulisha kwa initiala za Eng. someboby (eg Eng Wande and so on). Je huu ni utaratibu...
0 Reactions
51 Replies
8K Views
Habari wakuu wangu poleni na majukumu Naomba msaada wa kuremove software kwani nimejaribu ku uninstall imenigomea sasa na mimi natumia LG laptop Nasubiri wakuu wangu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
China's Hilarious Invention - Toilet Seat! "Toilet seat" by China. Invented for those who have to spend more time in traffic jams. China Invention
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Back
Top Bottom