Michael Paul
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 403
- 319
Habari za weekend wakuu...
Nimejiregister na hii online system ya bodi ya mikopo.
Tatizo nimepoteza password, nimejaribu kuireset kwa kutumia swali la siri waliloniuliza nikiwa na register lakini sijafanikiwa. Pia system ilisema itanituma password kwenye email yangu lakini haikutumwa.
Wakuu naomba msaada jinsi ya kerecover password yangu. Or step za kuchukua ili nijaze hizi forms.
Ahsanteni.
Nimejiregister na hii online system ya bodi ya mikopo.
Tatizo nimepoteza password, nimejaribu kuireset kwa kutumia swali la siri waliloniuliza nikiwa na register lakini sijafanikiwa. Pia system ilisema itanituma password kwenye email yangu lakini haikutumwa.
Wakuu naomba msaada jinsi ya kerecover password yangu. Or step za kuchukua ili nijaze hizi forms.
Ahsanteni.