Kuna mtu amewahi nunua CDs toka kwa hawa jamaa?
http://www.vtc.com
Mimi nahitaji lakini malipo yanataka visa card,nami nilipo ni kijijini, siwezipata visa card
Naomba msaada wenu kwa wenye udhoefu au waliowahi kununua CDs zao.
Napenda CDs kwasababu hapa kwetu hakuna private internet, hadi niende cafe,kwahiyo CDs zitanisaidia,kuliko kulipia kwa kusoma online.
Natanguliza shukrani.
http://www.vtc.com
Mimi nahitaji lakini malipo yanataka visa card,nami nilipo ni kijijini, siwezipata visa card
Naomba msaada wenu kwa wenye udhoefu au waliowahi kununua CDs zao.
Napenda CDs kwasababu hapa kwetu hakuna private internet, hadi niende cafe,kwahiyo CDs zitanisaidia,kuliko kulipia kwa kusoma online.
Natanguliza shukrani.