MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
Habar zenu wanathnker jana niliipiga chn window xp s2 nikaiweka nyngne mara baada ya kuona machne imekuwa nzito na kunabaadh ya mafile ya window kuwa yameliwa na virus na pia partishe niliyokuwa nimefanya mwanzo ilikuwa ndogo hvyo nikaongezea. Sasa bas baada ya hufanya hvyo na kurekebsha kila ki2 mashine haitak kucopy chochote yan ukitaka kuhamisha nymbo kwny memory card na kusent kwny mashine inasema driver not installed na ukitaka kuhamisha chochote kutoka kwny machne kwenda kwny USB flash inagoma je ni tatzo gan hapo wanathnker? Aina ya mashne ni DELL tower