donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,043
- 21,517
salam wakuu,nina external hardisk yangu ambayo nimestore ma files yangu sasa shida inakuja sometimes mafaili yanaonekana kama shortcuts yaan mpaka uende kwenye ubuntu,uyaduplicate kwa kutengeneza new folders af niyahamishie humo. Je nini kinasababisha tatzo hili wakuu na nitafix vp? Asanteni!