KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 278
WanaJF wote mambo vp? Naombeni kuuliza kwa wanaofahamu tatizo liko wapi? Natumia simu ya nokia E61i napata hizo channel live ila tatizo wakati wa mchana zinakwamakwama sana ila usiku kuanzia saa 6 zinaonekana vizuri kabisa