Dr Phone na Wataalam Wengine: MSAADA TUTANI!

Dr Phone na Wataalam Wengine: MSAADA TUTANI!

Amoeba

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2009
Posts
3,288
Reaction score
793
Wadau, jana niliweka simu mezani: kijana wangu mdogo akaichukua na kuanza kuichezea, nlivokuja kustka imelock line (Vodacom) inaomba PUK!!! Bahati mbaya kabisa nilishapoteza (Hii line ni ya kitambo sana)! Nimewapigia voda wanadai ne-renew, kilio changu ni kwenye contacts zangu! Je kunauwezekano wa kufanya manuva na kupata PUK? (mfano kitu kama PUK generator au vyovyote)!
Thanx!
 
Mh! umejaribu kuwauliza kwanini washindwe kukupa PUK?
 
mkuu nenda voda achana na wamitaani kama umepoteza ile kadi wanakupa puk huitaji kuswap sim sema customers care wengi wavivu wanakuwa na majibu mepesi mepesi kwenye maswali magumu na muhimu
 
Customer care Bongo? Mkuu wapandie hukohuko kwa ofisi zao kitaeleweka usijali.
 
Wadau, jana niliweka simu mezani: kijana wangu mdogo akaichukua na kuanza kuichezea, nlivokuja kustka imelock line (Vodacom) inaomba PUK!!! Bahati mbaya kabisa nilishapoteza (Hii line ni ya kitambo sana)! Nimewapigia voda wanadai ne-renew, kilio changu ni kwenye contacts zangu! Je kunauwezekano wa kufanya manuva na kupata PUK? (mfano kitu kama PUK generator au vyovyote)!
Thanx!



MKUU azima simu ya mtu yyt inayo tumia line ya voda kisha uende uwanja wa msg. ANDIKA puk acha nafasi kisha tuma kwenda 123. mfano: PUK 0754123456 >>>123

UKIKWAMA RUDI UTUAMBIE UMEKWAMA WAPI.
 
kiongozi inawezekana naomba namba yako nikupe puk yako usiumize kichwa
 
Wadau, jana niliweka simu mezani: kijana wangu mdogo akaichukua na kuanza kuichezea, nlivokuja kustka imelock line (Vodacom) inaomba PUK!!! Bahati mbaya kabisa nilishapoteza (Hii line ni ya kitambo sana)! Nimewapigia voda wanadai ne-renew, kilio changu ni kwenye contacts zangu! Je kunauwezekano wa kufanya manuva na kupata PUK? (mfano kitu kama PUK generator au vyovyote)!<br />
Thanx!
<br />
<br />
nimekupa namna ya ku generate puk.hiyo inafanya kazi 98% 2% za networ problems.
 
MKUU azima simu ya mtu yyt inayo tumia line ya voda kisha uende uwanja wa msg. ANDIKA puk acha nafasi kisha tuma kwenda 123. mfano: PUK 0754123456 >>>123

UKIKWAMA RUDI UTUAMBIE UMEKWAMA WAPI.

Dah! Ubarikiwe sana mkuu, hii skuijua kabsaa! Cha ajabu hata customercare wa voda sjui hawapewi seminar juu ya huduma zao, wamekaa kipumbavu sana. Asante sana mkuu! IDUMU JF!
 
Dah! Ubarikiwe sana mkuu, hii skuijua kabsaa! Cha ajabu hata customercare wa voda sjui hawapewi seminar juu ya huduma zao, wamekaa kipumbavu sana. Asante sana mkuu! IDUMU JF!

tupo pamoja mkuu.customer care wengi wanajua ila kuna wakati mwingine wanatoa majibu kwa mkato sana.
 
Back
Top Bottom