X-not
Member
- Sep 9, 2010
- 58
- 4
Hi!
Nachukua shahada ya uhandisi yaani 'Electronics & Communication Engineering',
nakaribia kujiandaaa kufanya project kwa ajili ya kumaliza, kichwani kwangu nahisi sina mwongozo wa kutosha, labda ni kwasababu sijapata 'exposoure' ya kutosha.
Tafadhari kama kuna yeyote anawazo, site za project anisaidie.
Thanx in advance!
Nachukua shahada ya uhandisi yaani 'Electronics & Communication Engineering',
nakaribia kujiandaaa kufanya project kwa ajili ya kumaliza, kichwani kwangu nahisi sina mwongozo wa kutosha, labda ni kwasababu sijapata 'exposoure' ya kutosha.
Tafadhari kama kuna yeyote anawazo, site za project anisaidie.
Thanx in advance!