Naombeni msaada jamani kwenye Nokia N93i !!!!!!!!!!!

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Mar 28, 2011
1,002
274
WanaJF wenzangu mambo vp?.Naombeni msaada wenu wakuu kwenye simu yangu ya Nokia N93i imekumbwa na tatizo la kutofanya kazi kabisa nikiiwasha inaniandikia PHONE START-UP FAILED.CONTACT THE RETAILER.Hili tatizo limejitokeza baada ya memory card kutolewa kuwekwa kwenye compyuta kwa ajili ya kuweka nyimbo mara baada tuu yakuirudisha hiyo memory card kwenye simu nilipoiwasha tu iliwaka na kuzima na kuniletea ujumbe wa GENERAL SYSTEM ERRO.tafadhali naombeni msaada wenu wa hali na mali natanguliza shukrani.
 
USIOGOPE AS LONG AS NI SYMBIAN BASI TUPO PAMOJA......

Jaribu hivi harafu lete majibu....

The fix for these phones is...
1. Power phone down
2. Remove SIM
3. Power up with Sim card out.
4. Phone will say "Start In offline mode?" – Select 'Yes'.
5. If starts without a problem
6. Turn it back off
7. Insert Sim back into the phone
8. Power phone back up
FOLLOW THE NEXT STEPS CAREFULLY AS SKIPPING WILL CAUSE YOU TO GO BACK TO THE START AGAIN
9. Phone will say "Continue in offline mode?" – Select 'Yes'
10. Once phone starting is complete press Power Button to bring up menu.
11. Select "General"
12. Phone will say "Switching profile will cause network to start?" – Select 'Yes'


cheers!!!!
 
Inagoma bosi ninapoiwasha ikiwa imekunjwa inaniambia START-UP FAILED na ninapoiwasha nikiwa nimeikunjua inaniambia GENERAL: System erro
 
SAFI SANA!!!! SASA FANYA HARD RESET!!! WORY OUT

NAAMINI SIMU ILIKUWA NA CHARGE KABLA HAIJA TOA HIO MSG....

KUFANYA HARD RESET NI SAWA NA KUFLASH....ILA NI TRICK KIDOGO SO......

Ensure the handset is turned off.

now press and hold the following keys and turn the handset on.

* + 3 + Green button(CHAKUWASHIA)

BONYEZA VYOTE KWA PAMOJA....NI TRICK ILA KAMA UPO LUCKY

UTAPATA MSG HII This handset will now reset to the default firmware configuration

UKIPATA HIYO HONGERA..UTAPOTEZA CONTACTS ZOTE NA SOFTWARE ZAKO ZOTE...NI SAWA NA KUFLASH SIMU...

CHEERS I HOPE U WILL GET THROUGH THIS...
 
Samahani mkuu sijakupata vizuri nibonyeze * 3 na green au red (chakuwashia)
 
opssss!!! so sory i am color blindness....we bonya green call key, 3, and star
[*] and then turn it ON...
 
Jamani asanteeeeeeeee sanaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!! Kitu kimekubali jamani tukutane baa gani???????
JF SHALL NEVER DIE
 
Eti Sharobalo ili kuepuka kuitia simu virus n njia zipi ili kuepuka? Mi huwa kila nacho download naweka kwenye memor card, je ni m1 wapo ya njia salama.
 
Eti Sharobalo ili kuepuka kuitia simu virus n njia zipi ili kuepuka? Mi huwa kila nacho download naweka kwenye memor card, je ni m1 wapo ya njia salama.
Mkuu inategemea na aina ya simu unayotumia kama ni hizi za wajomba wetu wa China inakuwa kazi sana kama ni Android platforms kuna antivirus na kama ni iphone basi ulinzi imara coz os yake iko very strong kwa virus.
 
MKUU tatizo wa tz waoga sana...virus anaye haribu Computer hawezi haribu SIMU yako..kama akiingia kwenye simu ni rahisi kumtoa una mdelete tu kwa sababu..ni vitu viwili tofauri.....Amini amini nawaambia hadi sasa hakuna virus anayeweza ku affect symbian V3 walikuwapo virus wanao haribu symbian v2 kama N70 na kuwatoa ni rahisi sana....labda kama kuna new virus atengenezwe
Eti Sharobalo ili kuepuka kuitia simu virus n njia zipi ili kuepuka? Mi huwa kila nacho download naweka kwenye memor card, je ni m1 wapo ya njia salama.
 
sorry cha kuepuka ni kupokea vitu vinavyotumwa kutoka simu moja kwenda nyingine pia programs ambazo haziko trusted...ila kuwatoa ni rahisi so u dont have to worry...nimetafuta virus wa majaribio nimekosa hadi sasa so naamini hakuna virus
 
Back
Top Bottom