Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu mimi natumia Boksi ya UFI kwa kweli pamoja na sifa mbovu za hili boksi nimefanikiwa kufufua simu kadhaa na kuua simu 2 nikijaribu kutoa MDM nikiwa najifunza na kuamsha simu zilizokufa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu je hapo kati ya simu hizo mbili ipi inafaa kwa matumizi. Na vipi upande wa bei kwa Specifications hizi Ram 6 GB Storage 128 GB
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa miaka 6 kumekuwa na vitu vinaitwa Whatsapp Gb,Yo Whatsapp ,Gb instata na nyinginezo ambazo mtu anatumia na kuweza kupata access ya hiyo.mitandao sema anakuwa anapata vionjo vingi ambavyo...
0 Reactions
9 Replies
871 Views
Habari wakuu kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, nime publish app ya blog yangu katika soko la google play store tangu asubuhi lakini mpaka sasa jioni haijakuwa published ipo draft na status yake...
0 Reactions
3 Replies
764 Views
simu ipi bora Infinix Hot 12 Vs Samsung A13. Infinix hot 12 pamoja na Samsung A13 zote zimeachiwa mwaka 2022 Ila miezi tofauti moja ni wa nne nyingine wa tatu zikiwa na mionekano ya kushangaza...
4 Reactions
85 Replies
16K Views
Wadau, kama kuna mtu yeyote humu mwenye specification ya hizi simu janja zinazouzwa na Tigo, almaarufu kama "Kitochi 4G" naomba aniwekee hapa. Maana nimejaribu kugoogle sijafanikiwa. So nataka...
2 Reactions
113 Replies
33K Views
Unahitaji kununua simu mpya lakini kwa bei hiyo hiyo unakutana na simu used yenye uwezo mkubwa zaidi ya mpya. Unabaki njia panda Maamuzi sahihi ni kununua simu mpya na maamuzi sahihi ni kununua...
12 Reactions
47 Replies
13K Views
Habari, Katika jitihada za kufanya Nuru (lugha ya kiprogramu ya Kiswahili) iwe rahisi kutumika, tungependa maoni yenu katika kupendekeza misamiati za programu (programming terminologies)...
2 Reactions
1 Replies
468 Views
Jamani hizi gb WhatsApp leo sizielewi, nadhani ndio ishafungiwa hii ya kwangu na kila nnayoitafuta haitoi majibu mazuri kwenye installation. Tafadhali kama una latest gbwhatsapp antiban version...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari, Eid Mubarak. Nina tatizo kwenye PS4 yangu ni Version 10.01 siyo ya kuchip. Nilienda kununua account ya game nikaweka games nikawa nacheza. Bad news ni kwamba Game ya FIFA23...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimenunua Laptop mpya, cha ajabu ninapoiunga kwenye Hotspot ya simu, niliingia Internet data zinapukutika balaa kuliko ilivyokuwa kwenye Laptop ya zamani! Nini sababu na nafanyaje kuepuka tatizo hili?
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Mwenye kujua password za goodvision 32" anasaidie aisee. TV yangu ghafla toka majuzi nikiiwasha inareta message hii yani zimebaki dk 4 ijizime automatic yenyewe, nilifikiri kuifanyia system...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Guys naomben ushauri insi ya Kutuma text automatic kwa siku tofauti tofauti na kwa watu tofauti...asante
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Hiki hapa naona dunia inakwenda mbali zaidi USSR
2 Reactions
8 Replies
711 Views
Habari wakuu, Nimekuwa interested na kujifunza teknolojia ya kuprint picha na kuziweka kwenye photo frame za mbao kama inavyoonekana hapo pichani. Nimejaribu kuomba kufundishwa na watu...
3 Reactions
29 Replies
19K Views
Wakuu Nina iphone six plus ila ukiweka chip inaandika no service, ktk setting network inaandika not available Carrier pia not available
1 Reactions
20 Replies
2K Views
salama wakuu wa kazi? Moja kwa moja kwenye maada, Leo nimekaa zangu majira ya jioni nacheki luninga stesheni ya channel 10. Kulikuwa kuna kipindi cha TEKNO UBUNIFU kama sijakosea. Katika hali...
19 Reactions
50 Replies
4K Views
Naombeni kuijua zaidi Samsung Galaxy A13 yapi madhaifu yake?
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Salaam wanajukwaa. Kama kichwa Cha habari kinavyosomeka hapo juu. Nimekuwa naletewa ukurasa huu ufuatao Kila ninapoperuzi Facebook. Tatizo nini?
2 Reactions
8 Replies
773 Views
Back
Top Bottom