Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
simu ipi bora Infinix Hot 12 Vs Samsung A13.
Infinix hot 12 pamoja na Samsung A13 zote zimeachiwa mwaka 2022 Ila miezi tofauti moja ni wa nne nyingine wa tatu zikiwa na mionekano ya kushangaza Sana je ipi simu Bora?
๐ฆ๐ฎ๐บ๐๐๐ป๐ด ๐๐ฝ๐ฒ๐ฐ:
6.6 inches , + LED flash, panorama, HDR
LCD display
Exynos 850(8nm) chipset + CPU octa-core
3 / 6 GB RAM + storage 32 , 64 , 128 GB
Battery Li-Po 5000 mAh, non-removable with fast charging support 15W
50mp, 1.8wide + 5mp (ultrawide) + 2mp (macro) + 2( depth) macro main camera
Font camera 8mp + 2.2(wide) + video 1080p@30fps
Android 12 with support one UI 4.1
214.96 --> Tz500,000/=
๐๐ป๐ณ๐ถ๐ป๐ถ๐ ๐๐ฝ๐ฒ๐ฐ๐ :
6.82 inches , + Dual-LED flash
Display IPS LCD, 90Hz
MediaTek Helio G85 (12nm) chipset
CPU octa-core + Mali-G52 MC2
4GB RAM extended 3Gb + storage 128 Gb
Battery Li-Ion 5000 mAh, non-removable with fast charging 18W
13mp + 1.8 wide + AF 2mp QVGA + 1080p@30fps
8mp + Dual LED flash + 1080p@30fps
Android 12 with support XOS 10.6
180.57 --> Tz 420000/=
Ndani ya box
๐ฆ๐๐ ๐ฆ๐จ๐ก๐ ๐๐ญ๐ฏ
Hii ni moja wapo ya toleo Bora la series ya Samsung A kwani muundo wake ni mzuri wa plastiki ikiwa na fingerprint yenye kupendeza, processor yake ni Exynos 850 changamoto iko polepole (slow) Sana wakati unatumia.
Ikiwa na 4G Kwenye intaneti not support 5G ,Sio amoled display Kama zilivyo Samsung zingine pia haifai kama wewe mpenzi wa ma game kamera yake Iko poa Sana Yani ukipiga picha Kama s22 ultra.
๐๐ก๐๐๐ก๐๐ซ ๐๐ข๐ง ๐ญ๐ฎ
Kwa upande wa Infinix hi ni moja wapo ya series Bora kabisa kuwahi kutokea za Hot series , kuanzia muundo wake ni mzuri, Uwezo wa kuongeza Ram Zaidi mpaka 3GB ili kuipa nguvu simu Yako.
Infinix imeendelea kuwashinda Samsung kwenye masuala ya betri kwani betri zao imara , Iko fast kwenye kuchaji na pia kumudu kwa muda mrefu. Pia hii ni simu nzuri Sana Kama wewe mpenzi wa game Iko fast haigandi gandi wakati unatumia.
Je ipi ni simu Bora tuachie maoni Yako ?
Teknolojia ni Yetu sote
Infinix hot 12 pamoja na Samsung A13 zote zimeachiwa mwaka 2022 Ila miezi tofauti moja ni wa nne nyingine wa tatu zikiwa na mionekano ya kushangaza Sana je ipi simu Bora?
๐ฆ๐ฎ๐บ๐๐๐ป๐ด ๐๐ฝ๐ฒ๐ฐ:
6.6 inches , + LED flash, panorama, HDR
LCD display
Exynos 850(8nm) chipset + CPU octa-core
3 / 6 GB RAM + storage 32 , 64 , 128 GB
Battery Li-Po 5000 mAh, non-removable with fast charging support 15W
50mp, 1.8wide + 5mp (ultrawide) + 2mp (macro) + 2( depth) macro main camera
Font camera 8mp + 2.2(wide) + video 1080p@30fps
Android 12 with support one UI 4.1
214.96 --> Tz500,000/=
๐๐ป๐ณ๐ถ๐ป๐ถ๐ ๐๐ฝ๐ฒ๐ฐ๐ :
6.82 inches , + Dual-LED flash
Display IPS LCD, 90Hz
MediaTek Helio G85 (12nm) chipset
CPU octa-core + Mali-G52 MC2
4GB RAM extended 3Gb + storage 128 Gb
Battery Li-Ion 5000 mAh, non-removable with fast charging 18W
13mp + 1.8 wide + AF 2mp QVGA + 1080p@30fps
8mp + Dual LED flash + 1080p@30fps
Android 12 with support XOS 10.6
180.57 --> Tz 420000/=
Ndani ya box
๐ฆ๐๐ ๐ฆ๐จ๐ก๐ ๐๐ญ๐ฏ
Hii ni moja wapo ya toleo Bora la series ya Samsung A kwani muundo wake ni mzuri wa plastiki ikiwa na fingerprint yenye kupendeza, processor yake ni Exynos 850 changamoto iko polepole (slow) Sana wakati unatumia.
Ikiwa na 4G Kwenye intaneti not support 5G ,Sio amoled display Kama zilivyo Samsung zingine pia haifai kama wewe mpenzi wa ma game kamera yake Iko poa Sana Yani ukipiga picha Kama s22 ultra.
๐๐ก๐๐๐ก๐๐ซ ๐๐ข๐ง ๐ญ๐ฎ
Kwa upande wa Infinix hi ni moja wapo ya series Bora kabisa kuwahi kutokea za Hot series , kuanzia muundo wake ni mzuri, Uwezo wa kuongeza Ram Zaidi mpaka 3GB ili kuipa nguvu simu Yako.
Infinix imeendelea kuwashinda Samsung kwenye masuala ya betri kwani betri zao imara , Iko fast kwenye kuchaji na pia kumudu kwa muda mrefu. Pia hii ni simu nzuri Sana Kama wewe mpenzi wa game Iko fast haigandi gandi wakati unatumia.
Je ipi ni simu Bora tuachie maoni Yako ?
Teknolojia ni Yetu sote