Wakuu,
Nimeingia kwenye tovuti ya posta nimeona kuna sehemu wameandika kufungua virtual box. sasa nilikuwa nauliza je, kama nikifungua naweza kupokea mzigo kupitia sanduku hilo?
Natanguliza...
Habari zenu wakuu, nimekutana na hii huko Twitter, kwa mwenye uzoefu na tigo je hivi vifurushi vipo kweli?Au ni mtu tu kaamua kujitengenezea graphics? Nilishakuwag na laini yao kipind flan, lakn...
Hello,
Naomba msaada WhatsApp yngu imegoma kufanya kazi, kila nikijaribu kuirudisha inadai account is being on a registered new device! Nisaidien niirudishe vipi.
Habari wana Jf, ni matumaini yangu mpo salama, kwa wenye changamoto kidogo za kiafya au zingine zozote, basi Muumba awafanyie wepesi ndugu zangu.
Samahanini huenda uzi sijui kuupangilia vizuri...
Wakuu nahitaji mtu anaeweza ku unlock hii router moja kwa moja iwe inatumia mitandao yote sio kama maelekezo ya youtube inakuwa ina unloked ila ikizima ukawasha inarudi tena locked sasa nataka iwe...
A new artificial intelligence bot aims to destroy humanity and establish global dominance, according to a recent report.The question is whose dominance.This is obviously its' makers and...
Naombeni msaada.....nasoma chuo X hapa tz , Ni finalist na nnatakiwa kufanya final year project ili niwe awarded degree ya computer science....
Changamoto ipo hivi , tulipebdekeza project title...
Habari za mchana huu.
Najua humu kuna wataalamu wengi, naomba anayeweza kunisaidia kuirudisha hii email yangu tafadhali.
Niliitumia miaka ya nyuma kidogo na nimejaribu kufuata zile procedure...
Habari wana JamiiForums,
Leo asubuhi niliripoti kukatwa na GOOGLE PLAY kimakosa kutokana na app moja ambayo ilikuwa ina run kwenye android yangu ambayo siku ya jana ilifanya malipo automatically...
Samahani wataalam ninaomba msaada namna ya kupakuwa movie kwa Telegram channel kwani inaoneka inashuka na mb zinakatika ila ikifika mwisho hakuna kitu na hii ni kwa format ya mkv ila kwa mp4 haina...
Mwanzo nilikuwa hata kama sina bando nikiwa na line ya halotel naweza kuingia baadhi ya sites kama JF buree kabisa...lakini saiv inakataaa.
Nimejarib kubadili line ya mtandao mwingine nako ni...
Habari wakuu, poleni na majukumu ya kila siku.Mungu aendelee kutupigania katika harakati zetu ili tuweze kufanikiwa.
Twende kwenye jambo lenyewe sasa. Wakuu mimi nina kiasi cha hiyo hela nataka...
This post intends to show the origins of Nuru, its purpose, what it can be used for, what it should not be used for and the potential future of the programming language.
Background
This language...
Habari mkuu.
Naendelea kujifunza na kuwa Inspired sana na hii kitu AI, Midjourney, kadiri inavyobamba na kuzisogeza kwa karibu tasnia mbalimbali, hapa naweza kuzungumzia tasnia ya picha na...
Logic level:
Logic level ni nini?
Logic level ni kiwango maalumu cha voltage au kiasi maalumu cha voltage signal/ mawimbi ya umeme.
Logic level ndo hupelekea kompyuta au mfumo wowote wa...
Jamani. Nina akaunti twitter. Nimekutumia miaka mingi. Mie sio mtu wa kuandika andika sana. Ila huwa naweza kumjibu mtu. Siku moja maria teshai aliandika kitu mie nikatofautiana nae. Akaniblock...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.