Unategemea hiyo windo iko updated kwa kiwango gani, ila laptop inapokua na window mpya inahitaji kudownload updates zakutosha ikiwa ni drivers na security updates ili kuipa ufanisi na usalama kabla ya kuendelea na matumizi, laptop ya zamani inawezekana imeshaunganishwa mara kadhaa kwenye mtandao hivyo imeshadowload updates zakutosha kuiwezesha kufanya kazi so haihitaji kudownload vitu vingiNimenunua Laptop mpya, cha ajabu ninapoiunga kwenye Hotspot ya simu, niliingia Internet data zinapukutika balaa kuliko ilivyokuwa kwenye Laptop ya zamani! Nini sababu na nafanyaje kuepuka tatizo hili?
Hii kitu inakua applied hadi kwenye simu mkuu??Unategemea hiyo windo iko updated kwa kiwango gani, ila laptop inapokua na window mpya inahitaji kudownload updates zakutosha ikiwa ni drivers na security updates ili kuipa ufanisi na usalama kabla ya kuendelea na matumizi, laptop ya zamani inawezekana imeshaunganishwa mara kadhaa kwenye mtandao hivyo imeshadowload updates zakutosha kuiwezesha kufanya kazi so haihitaji kudownload vitu vingi
Inaapply ndio, device mpya inahitaji updates zaidi kulingana na mahitaji ya current os security updates na driversHii kitu inakua applied hadi kwenye simu mkuu??
Maana nakumbuka hii simu wakati mpya bando ni dakik sifiri limekata. Ila sasa hivi naperuzi bila wasi.
Kwa hiyo nivumilie tu itakapokamilisha kuupdate mavitu hayo itapunguza ulaji, sio?Unategemea hiyo windo iko updated kwa kiwango gani, ila laptop inapokua na window mpya inahitaji kudownload updates zakutosha ikiwa ni drivers na security updates ili kuipa ufanisi na usalama kabla ya kuendelea na matumizi, laptop ya zamani inawezekana imeshaunganishwa mara kadhaa kwenye mtandao hivyo imeshadowload updates zakutosha kuiwezesha kufanya kazi so haihitaji kudownload vitu vingi
Yap hapo ipe bundle lakutosha, maana hakuna kuruka step itapita kila hatua ya updates kulingana na mtiririko wa updates zilizotolewa kwa hiyo running osKwa hiyo nivumilie tu itakapokamilisha kuupdate mavitu hayo itapunguza ulaji, sio?
Hiyo sio permanent solution devices zinahitaji updates kwa usalama na efficiencyturn on metered connection wewe, bila hvyo utalia kila siku. haitafanya window update mpaka utake mwenyewe, hapo metered connection ipo off ndo mana updates zinafanyika automatically.
Unaweza ku- pause updates, ila kuna uwezekano ikawa inamiss drivers na security updates muhimu.Kwa hiyo nivumilie tu itakapokamilisha kuupdate mavitu hayo itapunguza ulaji, sio?
Inaupdate window fanya network yako iwe metred connection ili iache update via hiyo networkNimenunua Laptop mpya, cha ajabu ninapoiunga kwenye Hotspot ya simu, niliingia Internet data zinapukutika balaa kuliko ilivyokuwa kwenye Laptop ya zamani! Nini sababu na nafanyaje kuepuka tatizo hili?
notification za updates ataziona na ataamua kuapply or not kuliko hv sasa ambapo inafanyika bila idhini yakeHiyo sio permanent solution devices
Speed ya internet ya wifi hotspot tu sio upya wa laptop,mimi natumia modem ya voda huwa kuna uafadhali kidogo ola nikiconect hotspot ni sekunde umamaliza Gb 1Nimenunua Laptop mpya, cha ajabu ninapoiunga kwenye Hotspot ya simu, niliingia Internet data zinapukutika balaa kuliko ilivyokuwa kwenye Laptop ya zamani! Nini sababu na nafanyaje kuepuka tatizo hili?
Hiyo metered connection ipo sehemu gani mkuu kwenye pcturn on metered connection wewe, bila hvyo utalia kila siku. haitafanya window update mpaka utake mwenyewe, hapo metered connection ipo off ndo mana updates zinafanyika automatically.
Ukiifanya metered connection itakuwa haiupdateSasa si bando litalika tu polepole mpaka updates zikamilike! Sema labda litalika kidogokidogo kwa muda mrefu!
Ndio mpango mzimaSi ina update Kona zote mzee