Roboti wa Tanzania kaniacha hoi!

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,835
salama wakuu wa kazi?

Moja kwa moja kwenye maada, Leo nimekaa zangu majira ya jioni nacheki luninga stesheni ya channel 10. Kulikuwa kuna kipindi cha TEKNO UBUNIFU kama sijakosea.

Katika hali iliyonishangaza mpaka nkaishia kucheka na kuionea huruma nchi hii ya Tanzania ni Roboti aliyetengenezwa na Taasisi yetu moja hivi,

Kiroboti kipo kama lunchbox( wametoa vitairi kwenye vigari vya watoto vya kuchezea) afu too easy in assembling(naongea haya nina ka uzoefu na mifumo ya roboti)

Roboti huyo anaenda forward na reverse tu basi as if ni toy ya my 3 year old son. No other functions designed to operate

huyo Mtaalum akaenda mbali zaidi kwa kusema wanataka wenye viwanda wawaunge mkono ili waweze kufunga teknolojia hiyo kwenye viwanda vyao.(Mtu ashindwe kununua mashine china na kui-install haraka haraka asubiri nyinyi na roboti ya ku-move forward na backward tu)

wakati wiki chache zilizopita nilishudia watoto wa miaka 9 wakiuunda roboti wenye ukubwa huo huo na huyu wa roboti wa bongo nchini CHINA NA SINGAPOR na hao ni watoto tu tena wanajiuundia nyumbani tu

ila huku Tanzania imetangazwa kuwa ni ubunifu wa hali ya juuu.
hii sifia sifia ya Bibi Tozo inaharibu nchi

Ushauri: Kuna watu wana uzoefu na mifumo hii, watu wanavipaji na electronics, na robotics either kwa kusomea au natural born, wawezesheni ili nchi ifike mbali,Tusilete siasa kila sehemu aisee.

PICHA 01-(roboti wa Tanzania akiwa chini akisubiri amri ya mtaalum)
IMG_4796.jpg



PICHA 02-(Roboti wa Tanzania akitekeleza majukumu yake- moving foward)
IMG_4800.jpg



PICHA 03-(Roboti wa Tanzania akirudi reverse kurudi upande wa mtaalum )
IMG_4797.jpg



IMG_4797.jpg


ACHENI MAONYESHO YA AJABU AJABU.


HUKU KWETU......
maharage kwetu 4200/KG
mchele 3600/KG
Unga wa Dona 2000/KG

Nawasilisha.
 
Kazi yake kubwa ni nini hasa....
Maana robots kama hizo chuo tumetengeneza sana na arduino..
Tatizo ni kinafanya nini?
 
salama wakuu wa kazi?

Moja kwa moja kwenye maada, Leo nimekaa zangu majira ya jioni nacheki luninga stesheni ya channel 10. Kulikuwa kuna kipindi cha TEKNO UBUNIFU kama sijakosea.

Katika hali iliyonishangaza mpaka nkaishia kucheka na kuionea huruma nchi hii ya Tanzania ni Roboti aliyetengenezwa na Taasisi yetu moja hivi,

Kiroboti kipo kama lunchbox( wametoa vitairi kwenye vigari vya watoto vya kuchezea) afu too easy in assembling(naongea haya nina ka uzoefu na mifumo ya roboti)

Roboti huyo anaenda forward na reverse tu basi as if ni toy ya my 3 year old son. No other functions designed to operate

huyo Mtaalum akaenda mbali zaidi kwa kusema wanataka wenye viwanda wawaunge mkono ili waweze kufunga teknolojia hiyo kwenye viwanda vyao.(Mtu ashindwe kununua mashine china na kui-install haraka haraka asubiri nyinyi na roboti ya ku-move forward na backward tu)

wakati wiki chache zilizopita nilishudia watoto wa miaka 9 wakiuunda roboti wenye ukubwa huo huo na huyu wa roboti wa bongo nchini CHINA NA SINGAPOR na hao ni watoto tu tena wanajiuundia nyumbani tu

ila huku Tanzania imetangazwa kuwa ni ubunifu wa hali ya juuu.
hii sifia sifia ya Bibi Tozo inaharibu nchi

Ushauri: Kuna watu wana uzoefu na mifumo hii, watu wanavipaji na electronics, na robotics either kwa kusomea au natural born, wawezesheni ili nchi ifike mbali,Tusilete siasa kila sehemu aisee.

PICHA 01-(roboti wa Tanzania akiwa chini akisubiri amri ya mtaalum)
View attachment 2562069


PICHA 02-(Roboti wa Tanzania akitekeleza majukumu yake- moving foward)
View attachment 2562070


PICHA 03-(Roboti wa Tanzania akirudi reverse kurudi upande wa mtaalum )View attachment 2562073


View attachment 2562073

ACHENI MAONYESHO YA AJABU AJABU.


HUKU KWETU......
maharage kwetu 4200/KG
mchele 3600/KG
Unga wa Dona 2000/KG

Nawasilisha.
Tumeachwa mbali sana.. Maili 1000 nyuma
 
Back
Top Bottom