Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,351
- 1,282
Wakuu mimi natumia Boksi ya UFI kwa kweli pamoja na sifa mbovu za hili boksi nimefanikiwa kufufua simu kadhaa na kuua simu 2 nikijaribu kutoa MDM nikiwa najifunza na kuamsha simu zilizokufa animefanikiwa chache tena zile brand kubwa kwa kuwa sina wateja wengi tatizo ni kwa hizi simu zetu tecno, Itel, Infinix hizi emmc dump file zake ni chache sana mtandaoni ukizingatia dump file nyingi tunategemea wahindi watuekee ila kwa hizi simu zinazotumika kwenye hii dunia ya 3 ni mbinde kupata. So nilikua naomba msaada kwa anayejua machimbo tusaidiane link au mbinu mbadala