Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ndugu habari zenu. Kwa wale mnaofahamu bei za PC Zanzibar naombeni mnipe bei za Macbook air 2022 na Hp spectrum. Naombeni bei kwa brand new na refurb, maana huku bongo mizinguo sana.
1 Reactions
0 Replies
430 Views
Habari ya wakati huu wana JF, kwenu wabobezi wa tehama, kuna uwezekano wa kuifanya hard disk ya 4TB ikawa external. Na nini vya kuzingatia wakati wa kufanya mchakato huo wa mabadiliko...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimenunua friji sijui matumizi yavi namba vyake viko 1 adi 7 Sasa cjajua 1 ndio inakua na Kasi au 7
0 Reactions
2 Replies
643 Views
Msaada nataka kuflash Tecno F1 kwenye sp flash tools inaleta huo ujumbe kwenye picha[emoji116]
1 Reactions
100 Replies
15K Views
TEMPLATE YA MATOKEO KWA SHULE ZA MSINGI! Kwa walimu wa shule za MSINGI wanaohitaji kiolezo(template) ya kuchakata matokeo ya wanafunzi baada ya mitihani au majaribio,au wanaohitaji kiolezo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu naomba kuuliza kuhusu kuagiza mzigo kwa kutumia online shop ya KIKUU. Je kuna janjajanja yoyote au niagize mzigo.....?
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Mtandao wa Starlink umeanza kupiga kazi Rwanda tena porini huko vijijini. Mimi kijijini kwetu mtandao ni shida, sasa Starlink ije niipeleke bush niwe naenda kwa uhuru.
8 Reactions
60 Replies
4K Views
Habari za muda wakuu poleni pia hongereni kwa harakati za kulijenga taifa. Okay bila kupoteza muda niende. Kwenye mada husika Je ni wangapi, wamewahi pigwa vifaa vya tech ikiwemo simu, Laptops...
24 Reactions
118 Replies
13K Views
Jamani kwa anayejua ni kifaa gani kina uwezo wa kupima uwezo wa Betri za simu anifahamishe tafadharini waungwana.
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari wana JF. Nauza Lenovo Curved Gaming Monitor G27c-10 yangu inchi 27 bei 650k. Imetumika miezi 6 Specifications hizi hapa chini. Display size: 27 inches Display type: Curved LED-backlit...
1 Reactions
2 Replies
742 Views
Wadau kwema, mimi hii kitu huwa nashindwa kuieleza kabisa na pia huwa sielew inakuwaje. Nina jamaa zangu wawili bahat mbaya sipo karibu nao wao walikuwa wanaishi kwa hii mingo, yaan wanapost ads...
0 Reactions
0 Replies
529 Views
Jamani wataalamu wa ICT Nina shida ya kurudisha akaunt yangu ya fb maana imedukuliwa
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Leo nimeona nilete list ya simu kumi bora kwa sasa. Simu nyingine zimetoka mwaka Jana na nyingine zimetoka mwaka huu na kwenye hii list zote hizi ni flagship. Sitaelezea sana nitaweka tu jina la...
11 Reactions
59 Replies
18K Views
Majuzi Alhamis wakati napita pita huko Quora,nilikutana na post iliyokuwa imeandikwa (katika mtindo wa swali) kwa maneno yenye weusi mkolezo, kilichonivutia na kuukonga moyo wangu, ni utamu wa...
7 Reactions
10 Replies
957 Views
asalaam moja kwa moja niendw kwenye mada, nina remote ya kuingizia umeme sasa inasumbua kuingiza umeme yaani tangu asubuh nahangaika na kila nikiingiza naona ina search tu bila mafanikio na...
1 Reactions
23 Replies
13K Views
Tv yangu haina sehem ya kuset Random video playing From flash drive. Ni vipi naweza kuipata hiyo huduma.Mp3 iko poa ila Mp4 zinaplay in order(from a to z) nahitaji zipige randomly ila hio option...
0 Reactions
2 Replies
439 Views
Nina pocket router huwa naitumia katika shughuli zangu, uwezo wa battery yake umeshuka na sasa inakaa masaa mawili ama matatu tu. Nina power bank ina 10000 Mah, nataka niwe naitumia badala ya...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwema wakuu, ninaomba kujulishwa namna ya kutatua tatizo hili, ambapo sauti inasikika ila Tv ni blank screen
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Nina Laptop mpya aina ya ACER EXTENSA 15. Ilikuja na Windows 11 nikaibadili kuwa Windows 10 Pro. Ninapenda kuscroll kwa kutumia vidole viwili badala ya kutumia Scroll bar lakini hii pc...
0 Reactions
8 Replies
784 Views
  • Question Question
Hili swali nimekuwa nikijiuliza bila kuelewa, nimekuwa nikisikia majibu kama chumvi mbichi na chumvi iliyoiva, sielewi ni namna gani chumvi inaitwa imeiva wakati yenyewe ni kemikali. Tuchukulie...
3 Reactions
7 Replies
842 Views
Back
Top Bottom