Teknolojia ya kuprint picha na kubandika kwenye photo frame za mbao

IrDA

JF-Expert Member
Aug 26, 2010
743
350
Habari wakuu,

Nimekuwa interested na kujifunza teknolojia ya kuprint picha na kuziweka kwenye photo frame za mbao kama inavyoonekana hapo pichani.

Nimejaribu kuomba kufundishwa na watu mbalimbali wanaofanya biashara hii mitandaoni bila mafanikio.

Naomba msaada wa maelekezo, kama kuna online resources nnazoweza kutumia kujifunza teknolijia hii, ikiwemo sehemu ya kupata materials za frame, aina ya printer inayohitajika n.k

Pia kama kuna mdau humu anayeweza kunifundisha kwa gharama nafuu, acomment hapa au aniPM; ntashukuru sana.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.


116618651_139023571190473_2647290016520338046_n.jpg
photo_2021-01-15_14-58-41.jpg
 
Habari wakuu,
Nimekuwa interested na kujifunza teknolojia ya kuprint picha na kuziweka kwenye photo frame za mbao kama inavyoonekana hapo pichani.
Nimejaribu kuomba kufundishwa na watu mbalimbali wanaofanya biashara hii mitandaoni bila mafanikio.
Naomba msaada wa maelekezo, kama kuna online resources nnazoweza kutumia kujifunza teknolijia hii, ikiwemo sehemu ya kupata materials za frame, aina ya printer inayohitajika n.k
Pia kama kuna mdau humu anayeweza kunifundisha kwa gharama nafuu, acomment hapa au aniPM; ntashukuru sana.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Sina uhakika hizi zimetengenezwaje ila zipo printer zenye uwezo wa ku print Picha yoyote kwenye material Ngumu,

Kama una nafasi kariakoo ukiwa big bon kama unaenda club ya Yanga mitaa ile utazikuta za kutosha tu.

Jina LA kitaalamu kama unataka ku google andika "UV flatbed Printing"

 
Sina uhakika hizi zimetengenezwaje ila zipo printer zenye uwezo wa ku print Picha yoyote kwenye material Ngumu,...
Nashukuru mkuu, ila hii niliyokuwa nauliza ni jinsi wanavyoprint kwa printer ya kawaida kwenye aina fulani ya karatasi then wanalibandika kwenye wooden frames.Sio ile direct printing kwenye wood
 
Itakua canvas nadhani

Material zake ni kama hizi
Custom-Canvas-Printing-Polyester-Canvas-Roll-Blank-Digital-Canvas.jpg



FILETOPRINT_paintings_canvasprints_from_a_photos013-600x707.jpg



custom-premium-canvas-printing-dN34g1OIbIlWef14jl.jpg


Printer zake bei inategemea na specs

Ila nyingi ni hizi wide format printers wanazotumia ku print banners, japo inategmea na aina ya head.

Estimation ni $5000 mpaka $50000 inategemea na brand, kama salio linasua sua angalia wachungulie wachinku unaweza kupata ya kima cha chini lakini figure ni kuanzia $5000 na kuendelea kwa printer nzuri.
 
Nashukuru mkuu, ila hii niliyokuwa nauliza ni jinsi wanavyoprint kwa printer ya kawaida kwenye aina fulani ya karatasi then wanalibandika kwenye wooden frames.Sio ile direct printing kwenye wood
Hio Picha ya huyo Dada ni printer ya kawaida? Labda wa print vipande vipande waunge.

Uki pata muda tembelea hayo maeneo, it's possible pia kwa hio printer ku print karatasi na kubandika, jamaa wa sticker pia wanatumia hizo.
 
Hio Picha ya huyo Dada ni printer ya kawaida? Labda wa print vipande vipande waunge.

Uki pata muda tembelea hayo maeneo, it's possible pia kwa hio printer ku print karatasi na kubandika, jamaa wa sticker pia wanatumia hizo.
asante
 
Kubandika picha ya mtu ukutani ndani kwangu naonaga UCHURO tu. Mambo ya kizamani hayo. Enzi za Analogia.
 
Hizo picha wanaita 'picha ya kibao , wana print picha kwenye stika za material tofauti mf. Zipo za vyumba , zipo zinazong'aa kama imemwagiwa unga flani hivi unang'aa sana alafu wanaibandika kwenye kibao kwa mashine maalumu na kwa size tofauti mf A2 , A4 au A0 . Na hizi mashine nyingi zipo Mitaa aliokuelekeza mkuu Chief Mkwawa.
 
Hio Picha ya huyo Dada ni printer ya kawaida? Labda wa print vipande vipande waunge.

Uki pata muda tembelea hayo maeneo, it's possible pia kwa hio printer ku print karatasi na kubandika, jamaa wa sticker pia wanatumia hizo.
Naomba nieleweshe hapa kidogo unaposema jamaa wa sticker sticker kama hizi wanazobandika kwenye magari kama labda mtu kaandika jina lake au
 
Naomba nieleweshe hapa kidogo unaposema jamaa wa sticker sticker kama hizi wanazobandika kwenye magari kama labda mtu kaandika jina lake au
Ndio hao hao mkuu, kikawaida huwa wananunua majora ya sticker na kukata na viwembe maalumu, ila hizi printer zipo zenye option ya ku design kwenye computer kisha ina print na kukata yenyewe.
 
Ndio hao hao mkuu, kikawaida huwa wananunua majora ya sticker na kukata na viwembe maalumu, ila hizi printer zipo zenye option ya ku design kwenye computer kisha ina print na kukata yenyewe.
Iyo ya kukata na mkono naijua naweza pata hata link ya video ya hiyo printer inayokata yenyewe
 
Hizo picha wanaita 'picha ya kibao , wana print picha kwenye stika za material tofauti mf. Zipo za vyumba , zipo zinazong'aa kama imemwagiwa unga flani hivi unang'aa sana alafu wanaibandika kwenye kibao kwa mashine maalumu na kwa size tofauti mf A2 , A4 au A0 . Na hizi mashine nyingi zipo Mitaa aliokuelekeza mkuu Chief Mkwawa.
Mkuu maeneo hayo ndio yana printer ama yana studio wanaweza kukuprintia picha za hivyo?
 
Naomba nichangi maada hii kwa sababu ndio kazi ambayo nilikuwa naifanya miaka ya nyuma,
1.kuhusu kuprinti nilazima uwe na uwezo wa kuchanganya rangi kulingana na mazingira ya picha ilivyo pigwa, yaaani magent cyna na yello,
2.Aina ya machine zinazoprint picha hutofautiana kulingana naukubwa wa picha,mfano machine aina ya NORTSU QS3011 huprint picha zenye ukubwa wa paspot mpaka 4x8,. Hiyo hapo kwenye picha namba moja,
machine nyingine ni EPSON,hizi zimegawanyika kulingana na aina ya kazi unazozitumikisha ambapp huprinti picha ya size ndogo,Tisheti mpaka mabango makubwa, nimeshindwa kuweka picha sababu ya mtandao hauko poa, ila ukihitaji maelezo zaidi nitaendelea kukuelekeza
FB_IMG_16081499776439225.jpg
 
Back
Top Bottom