Sio uyo mkuu, ni Chief-MkwawaNi simu nzuri Mkuu, huyu jamaa yupo updated zaidi na anajua brands nyingi za simu CHIEF MKWAWA
Asante Boss wanguNi simu nzuri Mkuu, huyu jamaa yupo updated zaidi na anajua brands nyingi za simu CHIEF MKWAWA
Naombeni kuijua zaidi Samsung Galaxy A13 yapi madhaifu yake?
A72 kwa bei hiyo labda used.Kama umeipenda chukua A series zote ni poa tu (mimi ninayo A72).
A13 ni simu moja na A21s,Naombeni kuijua zaidi Samsung Galaxy A13 yapi madhaifu yake?
Kwanini A series camera zao ni mbaya sana?A13 ni simu moja na A21s,
Processor yake inakula umeme kidogo itakaa na Chaji ila perfomance yake ipo hovyo itakua slow kufanya jambo lolote zito.
Kutegemea na bei unaweza pata simu nzuri zaidi.
Kwanini A series camera zao ni mbaya sana?
Picha kama zina kigiza hivi
ivi chief kati ya A13 na Infinix hot 12 ipo ipo pouwa zaidi kwa matumizi mazitoA13 ni simu moja na A21s,
Processor yake inakula umeme kidogo itakaa na Chaji ila perfomance yake ipo hovyo itakua slow kufanya jambo lolote zito.
Kutegemea na bei unaweza pata simu nzuri zaidi.
Infinix hot 12 soc yake ni nzuri zaidi kuliko A13.ivi chief kati ya A13 na Infinix hot 12 ipo ipo pouwa zaidi kwa matumizi mazito
redmi 10c shs ngapi iyoInfinix hot 12 soc yake ni nzuri zaidi kuliko A13.
Ila Redmi 10C ina perfomance kubwa kuliko zote 2
310,000 mpaka 350,000 Tigoshopredmi 10c shs ngapi iyo
Redmi note 11.Nina bajet ya laki 450 nichukue Redmi ipi kaka hapo???
tunaomba mrejesho baada kuinunua vp uwezo wake na vp kuhusu ubora wa cameraNdio boss