Wadau wa jukwaa hili habari,
Nina itel1702 prime11 ambayo kwa kustukiza tu naona ile notification bar na ile sehemu ya juu kama haisensi hivi maana kila nikitouch kitu kilichoko eneo hilo inakua...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nina simu yangu ya itel 1503 yenye version ya kitkat nataka iwe na lollipop version, nimeshairoot tayari.
So kwa mtaalam yoyote wa mambo haya aliyepo Dodoma...
Natumia QSat 15 G nilikuwa napa na kuona vituo kadha vya TV hapa Tz kupitia Satellite ya Amos 2,3 lakini ghafla ina niambia No Service. Shida ni nini? Je! Wamehama tena?
Chonde chonde.Nisaidieni...
Habari za week end wadau wa JF Tech? Niende kwenye point moja kwa moja, nilipata notification ya availability ya windows 10 kwa PC yangu ambayo ni HP 635. Niliweka bando ya kutosha na kupakua...
kwa wataalamu wa kufunga madish naomba kuuliza..nawezaje kupata hotbird satelite hapa dar es salaam?..ningependa kujua ni dish ukubwa gani na lnb type gani inayohusika niweze kuikamatata hii...
PC yangu kila nikiiwasha inapofikia sehemu ya starting window inastack hapo/ ina-freeze muda mrefu sana na Mara nyingine inaniletea startup repair.
Sasa sijui shida nini kwa anayefahamu anifahamishe.
kompyuta yangu inaonyesha maicon makubwa na chenga chenga nyingi tofauti na ilivyokua mwanzo je nipige window mpya au ni install driver za vga au nifanye nini ili ikae sawa
Wakuu natumia hTc rezound(verizon)
Siku za hivi karibuni imegeuka kero ina adds za kutosha kila dk mbili linatokea tangazo halafu ni unstoppable,nifanyaje ili niweze kuisafisha simu irudi kama...