Memori ya sim yangu 8.0gb lakini available ni 240mb

Memori ya sim yangu 8.0gb lakini available ni 240mb

ESPIRIT

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2014
Posts
665
Reaction score
524
Nisaidieni tafadhali kwa sababu vitu nilivyoweka hata MB 50 hazifiki
 
Nenda kaongee na congcong atajua cha kufanya...
 
Hiyo cm ni fakeee
Naa sahiz ziko nying saanaaa
Unaandikaaa internal 8GB
Lakin ukiweka vitu mwisho 128MB.
HAPOO USHAPIGWAA!!
unaponunua cm hakikishaa kuwa ni original kwelii au LA!!!
 
Piga
*#06# zen utaletewaaa imei
Zitume hizi imei kwendaa 15090
Utaambiwaaa kuwaa hiyo cm yakooo ni fakee naa utaitumiaa mwishoo tr15 june
 
Back
Top Bottom