Wazoefu wa ujenzi naombeni mnisaidie

chiefnyumbanitu

JF-Expert Member
Nov 28, 2015
906
426
Kwanza heshima kwenu wana JF,

Mwenzenu nahitaji kujua, nimejenga nyumba mpaka sasa imefikia hatua ya kupiga linta. Nilichotaka nijue hapo kwenye linta fundi kaniambia inatakiwa nondo zitembe nne na mimi nimeona nondo zitembee nne kama itakua gharama kubwa.

Nilikua naomba nijue kwa mfano nikiweka nondo zikatembea mbili mbili na zeko la kutosha kutakua na athari yoyote.

Nihayo tu wa JF.
 

Attachments

  • 1456199293769.jpg
    1456199293769.jpg
    165.7 KB · Views: 47
Lenta ndio inabeba nyumba mkuu!msikilize fundi wako anavyokushauri!nondo 2 zitafungwaje?bora ungeweka hata tatu ili zifungwe kwa style ya triangle.Kila la heri
 
Kitaalam nondo 2 haziwezi kufungwa hivyo uanzia tatu na kwa ubora zaidi ni nne. Msikilize fundi wako inaonekana hujui kabisa mambo ya ujenzi kama haujajipanga subiri upate hela ya kutosha ufanye jinsi unavyoelekezwa.
 
Kitaalam nondo 2 haziwezi kufungwa hivyo uanzia tatu na kwa ubora zaidi ni nne. Msikilize fundi wako inaonekana hujui kabisa mambo ya ujenzi kama haujajipanga subiri upate hela ya kutosha ufanye jinsi unavyoelekezwa.
ahsante sana umenipa akili yenye faida, lkn je ikaa mwez bila kupiga linta kunatato lolote linaweza kutokea hasa kwa kipindi hiki cha masika?
 
ahsante sana umenipa akili yenye faida, lkn je ikaa mwez bila kupiga linta kunatato lolote linaweza kutokea hasa kwa kipindi hiki cha masika?
Kwenye attachment naona matofali ni ya mchanga na cement(blocks) hivyo hakuna tatizo kwa mvua za masika, ila kama haupo karibu na site yako au hakuna mlinzi basi watu au watoto wakichezea ukuta ni rahisi kuangusha sehem nyembamba ya ukuta kati ya dirisha na mlango.
 
Kwenye attachment naona matofali ni ya mchanga na cement(blocks) hivyo hakuna tatizo kwa mvua za masika, ila kama haupo karibu na site yako au hakuna mlinzi basi watu au watoto wakichezea ukuta ni rahisi kuangusha sehem nyembamba ya ukuta kati ya dirisha na mlango.
ahsante ndugu, nmeelewa sasa ni kazi tu yakujitahidi nijichange kidog kidogo. mpana nifikie hatua nyingine.
 
Back
Top Bottom